Wa leo mimi wa leo
Wa leo sio wa jana
Aslay

Maisha ndo yale yale
Aah kuteswa ni kama funzo
Mmmh mengine tuyasamehe
Ooh tusiweke viulizo

Kikubwa uhai
Nashukuru ninao sijakufa
Ila kuhusu mapenzi sitaki show
Nimeyakuta

Kukesha kesha mawazo mzongo
Sitaki tena kupigana pigana naogopa chongo
Sitaki tena mlemavu akichoka anipa magongo
Sitaki tena kutwa kulia lia kutapika nyongo

Mapenzi yana wenyewe
Si wengine tuwache shobo
Tutazikwa wazima wazima
Eeh eeh eeh

Bora nitulie
Umri wangu mi bado mdogo
Nisitake ya watu wazima

Naenjoy, naenjoy mama
Naenjoy, naenjoy sana
Naenjoy japo kuwa sina kitu
Naenjoy mama
Ooh naenjoy, naenjoy sana

Nakukumbatia mtafuna roho yake
Asikwambie mtu, mtu yeyote
Ah, jamani shuka zina joto lake
Asikwambie mtu, kitu chochote

Kugandana gandana
Kuzuga tunapendana
Mwisho twaaza kuulizana
Sitaki

Mila sizitaki nyama
Kupenda nimesimama
Moyo wangu umegoma
Hautaki ng'o

Kukesha kesha mawazo mzongo
Sitaki tena kupigana pigana naogopa chongo
Sitaki tena mlemavu akichoka anipa magongo
Sitaki tena kutwa kulia lia kutapika nyongo

Mapenzi yana wenyewe
Si wengine tuwache shobo
Tutazikwa wazima wazima
Eeh eeh eeh

Bora nitulie
Umri wangu mi bado mdogo
Nisitake ya watu wazima

Naenjoy, naenjoy mama
Naenjoy, naenjoy sana
Naenjoy japo kuwa sina kitu
Naenjoy mama
Ooh naenjoy, naenjoy sana
    Página 1 / 1

    Letras y título
    Acordes y artista

    restablecer los ajustes
    OK