Na tembeya dunia yote Hakuna Mungu mwingine kama weye We Mungu wangu Ungali wimbo wangu Uko Mungu wangu Atcha niku shukuru Mweniezi Weye Uzima ninao moyoni daima Uzima ni Yesu mwokozi Aliniondoa aporini hakika Aka nitiliya hodari Nashiba rohoni kwa raha ya Mungu Na moto wa mbinguni ulimo Na pata kukaha nuruni kabisa Na nuru ni Yesu mwokozi Unibambe bambe Weye Mungu wangu Unibambe bambe Weye Baba wangu Unioneshe ndjiya nikutumikiye Unibambe bambe Weye Mungu wangu Nikuone one nione na baraka Unibambe bambe nipate na kimia Weye baba Mungu wa madjabu ni Weye Hakuna mwingine Taku abudu dje Weye ndjo Mungu wa Tania Ni mutumishi wako Ulimutchaguwa Wakati mina tembeya Na kumbuka nanoana Mapendo yako Nashiba rohoni kwa raha ya Mungu Na moto wa mbinguni ulimo Napata kukaha nuruni kabisa Na nuru ni Yesu Mwokozi Unibambe bambe Weye Mungu wangu Unibambe bambe Weye Baba wangu Unioneshe ndjiya nikutumikiye Unibambe bambe Weye Mungu wangu Nikuone one nione na baraka Unibambe bambe nipate na kimia Oh Nzambe bolingo nayo ezali eloko ya mutuya Na bomoyi ya Tania Yango ake ko pema na kimia Celui qui demeure sous l'abri du très haut Repose à l'ombre du Tout Puissant