This is Barnaba Boy Classic If you love someone you have to fight Goes around, comes around And this is for you beiby Noo, ooh, ooh, ooh Penzi umelipiga parapanda Uchizi umenipanda Mpaka nimepatwa kipanda, kipanda uso Mie barafu kwako mama niliganda Umeleta joto nimeyeyuka mama Unanipa maswali, wapi kwenda huko Penzi umeligeuza karabali Umegeuka upepo Umezima zetu ndoto Rafiki yangu amekuwa kilio Angali najipa moyo Nivute subira ila wapi Moyo umechoka Kuna muda naulazimisha mwili kimapenzi Angali nafsi na roho yangu havipendi Sina mood sijiskii chochote Moyo wangu jamani Nyang'a nyang'a ooh Roho yangu imechoka Nyang'a nyang'a ooh Nikufamanie nimechoka Nyang'a nyang'a ooh Eeh eeh nyang'a nyang'a ooh Eeh eeh nyang'a nyang'a ooh Moyo wangu barafu Nyang'a nyang'a ooh Kwenye jua nayeyuka Nyang'a nyang'a ooh Ukinivunja nameguka mie Nyang'a nyang'a ooh Eh mie, nyang'a nyang'a ooh Mie, nyang'a nyang'a ooh Zile subira, subiri huvuta heri Mimi nimevuta shari Nilompenda akawa adui Na mie ndo wake askari Nilichogundua Tamu ya mapenzi Waliopendana wakiachana Wanakuwa maadui sana Kuna muda na kubeep na itikali Nakutumia message yawa Ukinipigia nakujibu bahati mbaya Kuna muda naulazimisha mwili kimapenzi Angali nafsi na roho yangu havipendi Sina mood sijiskii chochote Moyo wangu jamani Nyang'a nyang'a ooh Roho yangu umechoka Nyang'a nyang'a ooh Nikufamanie nimechoka Nyang'a nyang'a ooh Eeh eeh nyang'a nyang'a ooh Eeh eeh nyang'a nyang'a ooh Moyo wangu barafu Nyang'a nyang'a ooh Kwenye jua nayeyuka Nyang'a nyang'a ooh Ukinivunja nameguka mie Nyang'a nyang'a ooh Eh mie, nyang'a nyang'a ooh Mie, nyang'a nyang'a ooh