Wee nipende hivyo hivyo mamaa Japo mambo ndivyo sivyo mamaa Punguza na masikitiko sanaaa Tupendane mpaka kifo mamaa Aah eeh, aah eeh Aaah eeh, mama oohh Aah eeh, aah eeh Aah eeh, mama oohh Jana tumelala njaa Paka amelala jikoni Kibanda chetu chavujaa Usiku tunalala kihunii Ulisema utanipenda mpaka mwisho Hutonikimbiaa yaaah Na hali yangu ni ngumu mahangaiko Utavumilia yaah Aah eeh, aah eeh Aaah eeh, mama oohh Aah eeh, aah eeh Aah eeh, mama oohh Mbona nayona mengi natamani Lakini natuliza moyooo Japo wanasema mengi majirani Napuuza naachana nayooo Mwenye nacho anaongezewa (eeh) Urefu wa kamba nasubiria (eh) Bila Imani utanikimbia mpenzi (eeh) Kwa hii hali nachechemea (eh) Shilingi yaua mume wangu Mlinzi nalinda pendo langu Japo kidogp ndo cha kwangu Mungu anajua kesho yangu Aah eeh, aah eeh Aaah eeh, baba oohh Aah eeh, aah eeh Aah eeh, baba oohh Nakupenda hivyo hivyo baba Japa mambo ndivyo sivyo baba Hata na mahangaiko hayaaa Ntakupenda mpaka kifo baba Aah eeh, aah eeh Aaah eeh, baba oohh Aah eeh, aah eeh Aah eeh, baba oohh Kazi nimefukuzwa Kibarua kimeota nyasi mamaa Joto lanifukuta Mfukoni sina hata hela ya ngama Nasikia mama mwenye nyumba nae Anataka kodi yake, hivi kweli Mazonge yamepitilza Na sipati jibu lake saa nafeli Aah eeh, aah eeh Aah eeh, mama oohh Aah eeh, aah eeh Aah eeh, mama oohh Piga konde baba Kidogo ndo ujaza kibabaa Ridhiki mafungu saba Tunachopata tushukuru si haba Ukweli kusema nakupenda tu Sijari kwa hali iwe chini ama juu Wao kwa magari sisi kwa miguu Tule kachumbali miguu ya kuku (huu huu) Mkono mtupu haulambwi baby Utanipenda vipi Penzi tupu bila pesa halitambi Utanielewa vipi Nimeamini kweli wee kipenda roho Na nyama mbichi imenikaba koo Tule kipolo (aah eh) Giza totoro (yaa wee) Uuh mama yee (mmh) Wee chaguo langu Wee baba we Wewe mwandani wangu Nitakupenda milele Unipende milele Nitakupenda milele Iyee iyee iyee... Aah eehh Aah eeeh Uuhh Uuhh Ayee he