Wewe enh eii, uh-uh It's Dady again Macho yangu yanatamani kukuona Ila moyo umegomaa Umecheza na hisia zangu Kumbe si fungu nilichagua koroma aah Mi nashangaa macho yanatamani kukuona Ingali mabaya yalishuhudia Na kidogo nilichokua nacho ndo kilifanya ukanikimbia Yani kama nilichomwa na mwiba ma Maumivu yakanipa shida na Si ungesema kama umeshiba mapenzi yangu mapenzi yangu weh Mana uliyoyafanya sio yakawaida ma Je ungeniua na cha roho kijiba na Nikajikokota uku nikimuomba mungu wangu kutwa aniponye Sio kwa ubaya Nimejiuguza na nimepona Hm wewe Nimejiuguza na nimepona Mi mzima wa afya Nimejiuguza na nimepona Yanilitesa ila sijafa Nimejiuguza na nimepona Uh yeah Uh-uh-uh Wenda uliwish nipitie mabaya Moyo wako si umejenga chuki sawa (sawa) Changu kidege umeota mbawa Haujaniuza bure bure umenigawa Nenda utapata anaekupenda wenda utampenda babe haaya Mi kosa langu kukupenda ukaniona mwana kwenda haaya Nilivyoongeza upendo mabaya ulifanya dhahiri kwa vitendo Kumbe ziro malengo kwangu ulifollow tendo Zile baby baby we kumbe ulinizuga tu baby Yani kama nilichomwa na mwiba maa Maumivu yakanipa shida na Siungesema kama umeshiba mapenzi yangu mapenzi yangu we Maana uliyoyafanya sio yakawaida ma Je ungeniua na cha roho kijiba na Nikajikokota huku nikimuomba mungu wangu kutwa aniponye Sio kwa ubaya ah yah, yah Nimejiuguza na nimepona Nimepona nimepona eh Nimejiuguza na nimepona Mi mzima wa afya Nimejiuguza na nimepona Yanilitesa ila sijafa Nimejiuguza na nimepona Ah nimepona Ah Chinga, Konde Music Worldwide, yeah Uh lalah, uh lalah Nimepona ah It's Dady again