Vee Money on the track yeah
(Its S2kizzy baby)

Shawty badder
She got me high kama beat ya S2kizzy
Nisipomuona sekunde nammiss
Najiuliza amenipa ninii?
Kila stori ninayopiga ye ndo mada
Nangombana kabisa wakimdiss
Na kuumia kwa moyo nahisi
Najuliza amenipa ninii?

Namkunja kabisa kama kambare
Nashinda kabisa sitaki sare
Hakuna kunguri mambo ya chare
Mtu wa Mungu, mtoto wa kipare

Ananivuta vuta kama magneti
Belong to you, belong to me baby
Ananivuta vuta kama magneti
Duu na duu na duu na duu baby
Ananivuta vuta kama magneti
Yeah, yeah, yeah
Ananivuta vuta kama magneti
I do, I do, I do, ooh, yeah

Sumaku, sumaku, sumaku
Sumaku, sumaku, sumaku
Sumaku, sumaku, sumaku
Sumaku, sumaku

Baby please, tell me you want more
What you like about the feeling?
Honestly, I wanna show you am feeling you too
Lemme take you to a nice place, tuzime taa
Nivute nikunase, utashangaa
Nikupe vitu vyote, upate raha
Am caught up in you and am tempted to stay up
For sure

Nipepee (ooh baby)
Nikikuona nazubaa (ooh baby)
Ooh baby (ooh baby)
Ninapandwa na kichaa (ooh baby)

Namkunja kabisa kama kambare
Nashinda kabisa sitaki sare
Hakuna kunguri mambo ya chare
Mtu wa Mungu, mtoto wa kipare

Ananivuta vuta kama magneti
You belong to me, I belong to you baby
Ananivuta vuta kama magneti
I do, I do, I do baby
Ananivuta vuta kama magneti
You belong to me, I belong to you baby
Ananivuta vuta kama magneti
I do, I do, I do for you

Sumaku, sumaku, sumaku
Sumaku, sumaku, sumaku
Sumaku, sumaku, sumaku
Sumaku, sumaku, sumaku

Anatuvua
Kila akitupa nyavu (anachukua)
Aah visenti vyetu vyote (anatuvua)
Aah mama kila akitupa nyavu (anachukua)
Hatutoki eeh (anatuvua)

Aah-ah akitupa nyavu (anachukua)
Yaani visenti vyetu vyote (anatuvua)
Mama mama ma (anachukua)
Yee ye ye ye ye
    Página 1 / 1

    Letras y título
    Acordes y artista

    restablecer los ajustes
    OK