Abbah!

Mlio ukicheka wee
Mi moyo unanitabasamu
Huyo mwenye kujihisi mwororo
Ila ukilia we
Hata kula nakosa hamu
Huo mwenye kujihisi dororo

Ukiwa karibu na mie, najiona bora
Lakini ukiwa mbali baby baridi linachoma
Uwepo wako na mie, umetia fora
We ndo dakitari, darling nikutaka pona

Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza

Sitamani mwingine
Wala sidhani ka ataweza kutokea
Maana mambo yako moto
Moto moto

Labda uvito shetani mwingine
Maneno ya watu nishazoea, I don't care
Kila kukicha choko choko
Choko choko

Unavyonipa raha
Tu nanenepa mie
Penzi lako natinga, naringa nambembea eeh
Kinachokufaa usisite niambie
Kwako niko radhi
Hata zege nibebe, machinga ninadishe

Ukiwa karibu na mie, najiona bora
Lakini ukiwa mbali baby baridi linachoma
Uwepo wako na mie, umetia fora
We ndo dakitari, darling nikutaka pona

Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza

For love, for love
For love, for love
I do it for love
Unaniweza weza
    Página 1 / 1

    Letras y título
    Acordes y artista

    restablecer los ajustes
    OK