AM Records
Eiyeh

Niamini leo hii
Sitamani mwingine tena
Kazi zangu mishemishe
Nitarudi nyumbani mapema
Unachonipa baby, sitokaa nikuumize
Na zile raha unazonipa, wewe

Napenda unavyokata na kunipa taratibu
Mi ni mgonjwa we ni dokta unanitibu
Nikikushika unanitazama unaona aibu
We tabibu, unanipa raha

Unavyokata na kunipa taratibu
Mi ni mgonjwa we ni dokta unanitibu
Nikikushika unanitazama unaona aibu
We tabibu ila ilaa

Husije fanya visa mina wivu
Na moyo utaniumiza mina wivu
Na hofu watakuteka mina wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu

Naandika ngoma ya mapenzi nakuona wewe
Na vinanda vya bob vya bembeleza
Nishagoma kwingine, kwako nipewe
Umeniteka mazima nimelegeza

And everything I do for you
Is from my heart as you know
Na kila siku mimi
Napambana we ubagamee

Napenda unavyokata na kunipa taratibu
Mi ni mgonjwa we ni dokta unanitibu
Nikikushika unanitazama unaona aibu
We tabibu, unanipa raha

Unavyokata na kunipa taratibu
Mi ni mgonjwa we ni dokta unanitibu
Nikikushika unanitazama unaona aibu
We tabibu ila ilaa

Husije fanya visa mina wivu
Na moyo utaniumiza mina wivu
Na hofu watakuteka mina wivu
Sitaki nile mbichi wao mbivu
    Página 1 / 1

    Letras y título
    Acordes y artista

    restablecer los ajustes
    OK