Nimekwisha zoea (mmh)
Kusemwa semwa na watu
Aah Ya kwao hawayaoni
Leo kazi kusema ya watu

Basi leo nawambia
Maneno yenu sijali
Mtabaki ivyo ivyo
Ya kwangu yaninyokea

Wacha Wacha waseme
Watasema mchana eeh
Usiku watalala
Wacha Wacha waseme
Leo Wacha Wacha waseme
Watasema mchana eeh
Usiku watalala
Wacha Wacha waseme

Mie na wangu nyumbani (haloo)
Mambo yangu burudani
Aah masikio nimeziba leo
Sijali ya mitaaani

Kwangu nimemthibiti
Hasikii wala haoni
Kajaribuni kwingine
Hapa hamuoni ndani

Wacha Wacha waseme
Watasema mchana eeh
Usiku watalala
Wacha Wacha waseme
Ooh Wacha Wacha waseme
Watasema mchana eeh
Usiku watalala
Wacha Wacha waseme

Mamawe kinyaunyau kikia cha pweza
Wataka mambo hamtayaweza
Leo kinyaunyau kikia cha pweza
Wataka mambo hamtaya weza
Aah kinyaunyau kikia cha pweza
Wataka mambo hamtayaweza
Leo kinyaunyau kikia cha pweza
Wataka mambo hamtaya weza

Mie na wangu nyumbani (halooh)
Mambo yangu burudani
Masikio nimeziba
Sijali ya mitaaani

Kwangu nimemthibiti
Hasikii wala haoni
Kajaribuni kwingine
Hapa hamuoni ndani

Wacha Wacha waseme
Watasema mchana eeh
Usiku watalala
Wacha Wacha waseme
Leo Wacha Wacha waseme
Watasema mchanaeeh
Usiku wata lala
Wacha Wacha waseme

Vitu vitu
Vitu vitu
Vitu vitu
Vitu vitu

Vitu vitu
Vitu vitu
Vitu vitu
Vitu vitu

Wewee yaah
Walomba yeeh
Lombaah
Wayayayaa wayaya wayaya

Aah mama chanja mama chanja (eeh)
Mimi njaa yaniuma (kula)
Nnahamu nnahamu (eeeh)
Nyama chukuchuku (kula)
Na mboga ya kisamvu (eeh)
Ivi ukunahuku (kula)

Mama chanja mama chanja (eeh)
Mimi njaa yaniuma (kula)
Nnahamu nnahamu (eeh)
Nyama chukuchuku (kula)
Na mboga ya kisamvu (eeh)
Ivi ukunahuku (kula)
Wayayayaa wayaya wayaya

Aah mama chanja mama chanja (eeh)
Mimi njaa yaniuma (kula)
Nnahamu nnahamu (eeh)
Nyama chukuchuku (kulaa)
Na mboga ya kisamvu (eeh)
Ivi ukunahuku (kulaa)
    Página 1 / 1

    Letras y título
    Acordes y artista

    restablecer los ajustes
    OK