Nimekwisha zoea (mmh) Kusemwa semwa na watu Aah Ya kwao hawayaoni Leo kazi kusema ya watu Basi leo nawambia Maneno yenu sijali Mtabaki ivyo ivyo Ya kwangu yaninyokea Wacha Wacha waseme Watasema mchana eeh Usiku watalala Wacha Wacha waseme Leo Wacha Wacha waseme Watasema mchana eeh Usiku watalala Wacha Wacha waseme Mie na wangu nyumbani (haloo) Mambo yangu burudani Aah masikio nimeziba leo Sijali ya mitaaani Kwangu nimemthibiti Hasikii wala haoni Kajaribuni kwingine Hapa hamuoni ndani Wacha Wacha waseme Watasema mchana eeh Usiku watalala Wacha Wacha waseme Ooh Wacha Wacha waseme Watasema mchana eeh Usiku watalala Wacha Wacha waseme Mamawe kinyaunyau kikia cha pweza Wataka mambo hamtayaweza Leo kinyaunyau kikia cha pweza Wataka mambo hamtaya weza Aah kinyaunyau kikia cha pweza Wataka mambo hamtayaweza Leo kinyaunyau kikia cha pweza Wataka mambo hamtaya weza Mie na wangu nyumbani (halooh) Mambo yangu burudani Masikio nimeziba Sijali ya mitaaani Kwangu nimemthibiti Hasikii wala haoni Kajaribuni kwingine Hapa hamuoni ndani Wacha Wacha waseme Watasema mchana eeh Usiku watalala Wacha Wacha waseme Leo Wacha Wacha waseme Watasema mchanaeeh Usiku wata lala Wacha Wacha waseme Vitu vitu Vitu vitu Vitu vitu Vitu vitu Vitu vitu Vitu vitu Vitu vitu Vitu vitu Wewee yaah Walomba yeeh Lombaah Wayayayaa wayaya wayaya Aah mama chanja mama chanja (eeh) Mimi njaa yaniuma (kula) Nnahamu nnahamu (eeeh) Nyama chukuchuku (kula) Na mboga ya kisamvu (eeh) Ivi ukunahuku (kula) Mama chanja mama chanja (eeh) Mimi njaa yaniuma (kula) Nnahamu nnahamu (eeh) Nyama chukuchuku (kula) Na mboga ya kisamvu (eeh) Ivi ukunahuku (kula) Wayayayaa wayaya wayaya Aah mama chanja mama chanja (eeh) Mimi njaa yaniuma (kula) Nnahamu nnahamu (eeh) Nyama chukuchuku (kulaa) Na mboga ya kisamvu (eeh) Ivi ukunahuku (kulaa)