Uko nje nimeskia wakisema ati hatuuzagi Eeh hata hatuuzagi Hii tunauza ni wewe Nawauliza tena hii tunauza ni wewe Hii Dio Barua yangu na iwafikie Wao Nikianika nguo zangu hapa Chini cianiki jua Dio zikauke Naanikia customer zangu Wapeda kazi yangu amenunua Longi Amenunua viatu Wamenunua kofia vinyasa Nimefugua duka amenunua Chovi mafuta Uga ya gano Wamenunua masoda Namwamini Mungu nisipouza leo kesho ni Siku kesha Ukiniroga mimi na kesha na Mungu wangu anibaliki zaidi Unatamani Nizikwe nikiwa uhai Hiyo ni ndoto ya Mchana my Friend Mkiniona na baiki ama Kaduthi kangu nikiuza bithaa Zangu Heshimu kazi yangu ni Kama ile ingine Mimi nimejiajiri Wewe umeajiriwa Nani ako Mbele pamoja Uko nje nimeskia wakisema ati hatuuzagi Eeh hata hatuuzagi Hii tunauza ni wewe Nawauliza tena hii tunauza ni wewe Hii Dio Barua yangu na iwafikie Wao eeh Uko nje nimeskia wakisema ati hatuuzagi Eeh Hatuuzagi Hii tunauza ni wewe Mimi na bidii zangu za kila siku Naigia Sokoni natadaza nyanya Ngunia napaga Nyanya zangu Sukuma zangu kitugu Matunda aina balibali avocado cabbage Jua imewaka woiye vitu zangu Zitahalibika Mungu ni nani Wamezinunua vitu zangu Hiyo ni kidole siku yangu lmejaa customer wengine ni Wazuri Uko nje nimeskia wakisema ati hatuuzagi Eeh hata hatuuzagi Hii tunauza ni wewe Nawauliza tena hii tunauza ni wewe Hii Dio Barua yangu na iwafikie Wao Uko nje nimeskia wakisema ati hatuuzagi Eeh hata hatuuzagi Hii tunauza ni wewe Hii Dio Barua yangu iwafikie wao Mvumilivu hula mbivu siku zote Ndugu dada majirani zangu Mwamini mungu sio binadamu Eeh