Kamata, shika chini kapakatee
Ikizingua weka chini tema mate
Aya Samata, kabumbu lisakate

Aya kiti kapandisha maruhani
Aya kiti anataka chumba cha uwani

Athumani naye kasimama dede
Ana midadi anataka akubebe
Ulivyotuna na ulivyojaza debee
Udenda wamtoka yaani kawa bwege

Aya kamata, shika chini kapakatee
Ikizingua weka chini tema mate
Aya Samata, kabumbu lisakate
Kama kachafu kasafishe katakate

Ayaa sakata, sakata sakata beiby
Waonyeshe ulivyofundwa eeeh
Sakata, sakata sakata
Ayaa waonyeshe

Rhumba sakata, nishadata eeeh
Sakata, nishadata eeeh
Sakata, nishadata eeeh
Sakata, sakata, sakata

Sakata, sakata eeeh
Sakata, sakata eeeh
Sakata, sakata eeeh
Sakata, sakata, sakata

Yaani yeroo yeroo
Subai, masai, pandisha mori
Ndani kero kero
Msuva katupia goli

Leo mpaka kokorikoo
Mi mwenyewe pompolipoo
Mama katoka na mwiko
Mwali kakimbia jiko

Nanesa ninayumba yumba
Moyo unadunda dunda
Yaani ninayumba yumba
Moyo unadunda dunda

Aya kamata shika chini kapakatee
Ikizingua weka chini tema mate
Aya Samata kabumbu lisakate
Kama kachafu kasafishe katakate

Ayaa sakata, sakata sakata beiby
Waonyeshe ulivyofundwa eeeh
Sakata, sakata sakata
Ayaa waonyeshe

Rhumba sakata, nishadata eeeh
Sakata, nishadata eeeh
Sakata, nishadata eeeh
Sakata, sakata, sakata

Sakata, sakata eeeh
Sakata, sakata eeeh
Sakata, sakata eeeh
Sakata, sakata, sakata

Nanesa ninayumba yumba
Moyo unadunda dunda
Yaani ninayumba yumba
Moyo unadunda dunda
    Página 1 / 1

    Letras y título
    Acordes y artista

    restablecer los ajustes
    OK