Penzi letu litabaki kuwa stori
Sio leo mpaka kesho
Utamu kama limemwagiwa asali
Sio leo mpaka kesho

Maneno neno tuyafanye yawe stori
Sio leo mpaka kesho
Mi nawe hatuachani hasirani
Sio leo mpaka kesho

Nitunzie
Penzi langu wasidokoe wale
Nihifadhie
Chakula changu mi nikirudi nile

Kwako mimi ni mpofu siwezi pona
Taabani mi naumwa nina homa
Ukiondoka nitakufa siwezi pona
Mbeiby

Tulipitia visanga
Nyumba zenyewe hizi za kupanga panga
Yale yalikuwa majanga
Mlo mmoja ndani na tuna kichanga

Beiby, sijawahi pendwa hivi
Mimi sijawahi pendwa hivi
Ooh sijawahi pendwa hivi
Mimi sijawahi pendwa hivi

Mmh sijawahi pendwa hivi
Mmh sijawahi pendwa hivi
Naapa ooh sijawahi pendwa hivi
Ooh beiby mimi sijawahi pendwa hivi

Cha kushangaza umejaliwa na huringi
Hushindani nao mama huna ligi
Umebarikiwa hilo sipingi
Kama wewe hakuna

We umenitoa chongo
Umenipa michongo
Siongei uwongo huo
Maana hata kabla yako
Alijiweka kando
Hawakujali moyo huo

Mwenzako kwenye mapenzi
Nilikuwaga fala wee (wewe)
Kuumizwa na kutendwa
Kwangu ilikuwa sawa wewe (wewe)

Kwako mimi ni mpofu siwezi pona
Taabani mi naumwa nina homa
Ukiondoka nitakufa siwezi pona
Mbeiby

Tulipitia visanga
Nyumba zenyewe hizi za kupanga panga
Yale yalikuwa majanga
Mlo mmoja ndani na tuna kichanga

Sijawahi pendwa hivi (ooh sijawahi pendwa)
Mimi sijawahi pendwa hivi (ooh sijawahi pendwa)
Ooh sijawahi pendwa hivi (ooh sijawahi pendwa)
Mimi sijawahi pendwa (ooh sijawahi pendwa)

Sijawahi pendwa hivi (ooh sijawahi pendwa)
Mimi sijawahi pendwa hivi (ooh sijawahi pendwa)
Ooh sijawahi pendwa hivi (ooh sijawahi pendwa)
Mimi sijawahi pendwa hivi (ooh sijawahi pendwa)
    Página 1 / 1

    Letras y título
    Acordes y artista

    restablecer los ajustes
    OK