Penzi letu litabaki kuwa stori Sio leo mpaka kesho Utamu kama limemwagiwa asali Sio leo mpaka kesho Maneno neno tuyafanye yawe stori Sio leo mpaka kesho Mi nawe hatuachani hasirani Sio leo mpaka kesho Nitunzie Penzi langu wasidokoe wale Nihifadhie Chakula changu mi nikirudi nile Kwako mimi ni mpofu siwezi pona Taabani mi naumwa nina homa Ukiondoka nitakufa siwezi pona Mbeiby Tulipitia visanga Nyumba zenyewe hizi za kupanga panga Yale yalikuwa majanga Mlo mmoja ndani na tuna kichanga Beiby, sijawahi pendwa hivi Mimi sijawahi pendwa hivi Ooh sijawahi pendwa hivi Mimi sijawahi pendwa hivi Mmh sijawahi pendwa hivi Mmh sijawahi pendwa hivi Naapa ooh sijawahi pendwa hivi Ooh beiby mimi sijawahi pendwa hivi Cha kushangaza umejaliwa na huringi Hushindani nao mama huna ligi Umebarikiwa hilo sipingi Kama wewe hakuna We umenitoa chongo Umenipa michongo Siongei uwongo huo Maana hata kabla yako Alijiweka kando Hawakujali moyo huo Mwenzako kwenye mapenzi Nilikuwaga fala wee (wewe) Kuumizwa na kutendwa Kwangu ilikuwa sawa wewe (wewe) Kwako mimi ni mpofu siwezi pona Taabani mi naumwa nina homa Ukiondoka nitakufa siwezi pona Mbeiby Tulipitia visanga Nyumba zenyewe hizi za kupanga panga Yale yalikuwa majanga Mlo mmoja ndani na tuna kichanga Sijawahi pendwa hivi (ooh sijawahi pendwa) Mimi sijawahi pendwa hivi (ooh sijawahi pendwa) Ooh sijawahi pendwa hivi (ooh sijawahi pendwa) Mimi sijawahi pendwa (ooh sijawahi pendwa) Sijawahi pendwa hivi (ooh sijawahi pendwa) Mimi sijawahi pendwa hivi (ooh sijawahi pendwa) Ooh sijawahi pendwa hivi (ooh sijawahi pendwa) Mimi sijawahi pendwa hivi (ooh sijawahi pendwa)