Penzi unalionea
Waizunguka njia
Ukuta nilioegemea
Leo wanichafua

Hata ujiteteaje
Story zako mi napewa
Waona unanionaje
Kunivuruga kila mara

Kwani sisi tupo wangapi
Ama mimi mshika shati
Na chakula hakiliki baba we
Kila siku kesi kesi

Kwani sisi tupo wangapi
Ama mimi mshika shati
Na chakula hakiliki baba we
Kila siku kesi kesi

Nimechoka mwenzio (lawama)
Oh, oh (lawama)
Sina swaga yeyote (lawama) na wewe (lawama)
Ujuzi wangu wa zamani (ni noma, ni noma)
Kila ninachofanya hakuna (ni noma, ni noma)
Aiyaa aiyaaa

Ona moyo unalipuka
Maana uishi kunizuga zuga
Tena umegeuka yuda
Sikomi kunisulama

Nia yako niumie
Tezo naiweka embe
Maruhani nisaidie
Panda palipo na pete

Kwani sisi tupo wangapi
Ama mimi mshika shati
Na chakula hakiliki baba we
Kila siku kesi kesi

Kwani sisi tupo wangapi
Ama mimi mshika shati
Na chakula hakiliki baba we
Kila siku kesi kesi

Nimechoka mwenzio (lawama)
Oh, oh (lawama)
Nimechoka na wewe (lawama)
Mapenzi yangu ya zamani (ni noma, ni noma)
Kila ninachofanya hakuna (ni noma, ni noma)
    Página 1 / 1

    Letras y título
    Acordes y artista

    restablecer los ajustes
    OK