Penzi unalionea Waizunguka njia Ukuta nilioegemea Leo wanichafua Hata ujiteteaje Story zako mi napewa Waona unanionaje Kunivuruga kila mara Kwani sisi tupo wangapi Ama mimi mshika shati Na chakula hakiliki baba we Kila siku kesi kesi Kwani sisi tupo wangapi Ama mimi mshika shati Na chakula hakiliki baba we Kila siku kesi kesi Nimechoka mwenzio (lawama) Oh, oh (lawama) Sina swaga yeyote (lawama) na wewe (lawama) Ujuzi wangu wa zamani (ni noma, ni noma) Kila ninachofanya hakuna (ni noma, ni noma) Aiyaa aiyaaa Ona moyo unalipuka Maana uishi kunizuga zuga Tena umegeuka yuda Sikomi kunisulama Nia yako niumie Tezo naiweka embe Maruhani nisaidie Panda palipo na pete Kwani sisi tupo wangapi Ama mimi mshika shati Na chakula hakiliki baba we Kila siku kesi kesi Kwani sisi tupo wangapi Ama mimi mshika shati Na chakula hakiliki baba we Kila siku kesi kesi Nimechoka mwenzio (lawama) Oh, oh (lawama) Nimechoka na wewe (lawama) Mapenzi yangu ya zamani (ni noma, ni noma) Kila ninachofanya hakuna (ni noma, ni noma)