(Ah bah)
Nana nana

Dar kugumu kweli
Toka nifikie mwaka wa tano ushapita
Ila simaanishi nimefeli honey wangu we
Nana na
Washanikwamishaga matapeli
Maswahibu kibao yashanikuta
Mpaka leo kupona yote kheri
Mpenzi wangu wee

Na tumshukuru maulana aah
Tunapumua tunapumua
Tia maji tia maji sawa
Nilikotoka sio nilipokuwa
Hivi vichange vilivyopatikana aah
Tutakula na tutatanua aah
Tone moja la halali dawa
Kuliko kikubwa cha kukwapua

Ila sio mbaya
Ya miguu mitatu bajaji nimenunua
Kiroho mbaya
Chumba kimoja salasala nimeshapaua
Ila sio mbaya
Ya miguu mitatu bajaji nimenunua
Kiroho mbaya
Chumba kimoja salasala nimeshapaua

Funga na vilago vyakoo
Nakungojeea mama
Niko stendi
Aga na jirani zako
Afu nibebee mihogoo nimeimissii
Funga na vilago vyakoo
Nakungojeea mama
Niko stendi
Aga na jirani zako
Afu nibebee mihogoo nimeimissii

Basi fanya himaa
Mwenzio nimekumiss
Nimemiss kukuoonaa
Nawe nambie ulichokimiss
Subira yako imehusika sana kunizalishia
Nikikumbuka nilivokuachaga shidani
Sikuona na budi kuhenyeka
Yashaiva matunda tuje
Kuvuuna aah unanisikii aah
Nishazunguka sana kutafuta utajiri
Bado sijapata aah

Ila sio mbaya
Ya miguu mitatu bajaji nimenunua
Kiroho mbaya
Chumba kimoja salasala nimeshapaua
Ila sio mbaya
Ya miguu mitatu bajaji nimenunua
Kiroho mbaya
Chumba kimoja salasala nimeshapaua

Funga na vilago vyakoo
Nakungojeea mama
Niko stendi
Aga na jirani zako
Afu nibebee mihogoo nimeimissii
Funga na vilago vyakoo
Nakungojeea mama
Niko stendi
Aga na jirani zako
Afu nibebee mihogoo nimeimissii

Maisha sio kutafutana
Na muomba Mungu hakosi hata chembe
Nilipambanaa sana aah
Hata wewe uvumilie eeh
Kikubwa Imani tuu uh
Nilikuwekee aah

Tujee tulee eeh
Tuuje tuule eeh
Mi na wewe eeh
    Página 1 / 1

    Letras y título
    Acordes y artista

    restablecer los ajustes
    OK