Hata kama penzi maji masafi
Niacheni ninanawa
Maana yamenifika, yamenifika hapa

Ingawa nitakonda
Nimeridhia sawa
Maana kila dakika, mi huwa kilioni

Kukikucha macho juu
Nakesha kulilia penzi
Kama kina nauguza mama eeh, mama eeh

Hapo shida sio heshima tu
Hata wanamuingia wengi
Mwenzenu kupenda kashakata tamaa eeh, tamaa eeh

Ooh acha ikabaki ikawa historia
Japo sio kiroho safi
Ya nini kung'ang'ania biashara, tena yenye hasara

Na wala sisemi nitakuchukia
Japo moyo hautaki
Ya nini kung'ang'Ana ng'ang'Ana

Inatosha, inatosha
Inatosha, inatosha
Inatosha, inatosha

Ni kwamba moyo mashine
Nina imani nitapoa
Hii hali siyo ya kudumu, nina imani nitapoa

Ni kwamba tumeumbwa kusahau
Nina imani nitasahau
Hii hali siyo ya kudumu, nitakusahau

Kama kukupinga si ilishindikana
Sawa, sina chaguo
Maana japo, itanisumbua sumbua

Itani umbua umbua
Mchanga kwenye kitumbua, tumbua
Kwenye kitumbua, tumbua

Ooh acha ikabaki ikawa historia
Japo sio kiroho safi
Ya nini kung'ang'ania biashara, tena yenye hasara

Na wala sisemi nitakuchukia
Japo moyo hautaki
Ya nini kung'ang'Ana ng'ang'Ana

Inatosha, acha nipambane na hali yangu
Inatosha, aah mapenzi ya kupendwa, kushaka basi
Inatosha, mmh utaniniua
Inatosha, mmh utaniua, mwenzako mie inatosha
    Página 1 / 1

    Letras y título
    Acordes y artista

    restablecer los ajustes
    OK