Maa forever aah, mi nataka niishi na wewe
Maa forever aah, mpaka mwisho wa mimi na we
Maa forever aah, mi nataka niishi na wewe
Maa forever aah, mpaka mwisho wa mimi na we

Kwenye ubindu wa imani
Wengi wanadumu mili maishani
Napenda unipende kwa imani
Msimamo wa kweli usiojaa fatari

Nitapeleka na kutaka nini unataka
Kwa mama tutafika
Na siku ikifika tufunge ndoa mimi nawe
Siku zote niwe nawe

Ndipo nitasimama, linda penzi liwe na amani
Ndipo nitasimama, penzi lisiingie matata
Ndipo nitasimama, wote beiby tuishi kwa amani
Ndipo nitasimama

Ndipo nitasimama, linda penzi liwe na amani
Ndipo nitasimama, penzi lisiingie matata
Ndipo nitasimama, wote beiby tuishi kwa amani
Ndipo nitasimama

Maa forever aah, mi nataka niishi na wewe
Maa forever aah, mpaka mwisho wa mimi na we
Maa forever aah, mi nataka niishi na wewe
Maa forever aah, mpaka mwisho wa mimi na we

Tuishi wote milele
Kwa raha bila kujali kelele zao
Tuwe makini na wale
Kamwe wasije leta ndwele

Nitakupeleka kwa ndugu zangu wa Nyamwanga
Ukapate na ntonga
Na nyumba nitajenga ili uniamini upendo
Toka zamani mi naujenga

Ndipo nitasimama, linda penzi liwe na amani
Ndipo nitasimama, penzi lisiingie matata
Ndipo nitasimama, wote beiby tuishi kwa amani
Ndipo nitasimama

Ndipo nitasimama, linda penzi liwe na amani
Ndipo nitasimama, penzi lisiingie matata
Ndipo nitasimama, wote beiby tuishi kwa amani
Ndipo nitasimama

Maa forever, mimi na wewe
Mpaka mwisho wa mimi na we
Na mimi na wee
Thank you
    Página 1 / 1

    Letras y título
    Acordes y artista

    restablecer los ajustes
    OK