Kwako tetere nishazubaa Nipe mchele, usinipe chuyaa Uwache pele, tuliza pupa, ooh ooh Usije ukaniua titiri, ooh Ooh nishakupa vyote vyako (ooh lalala) Mautam mamnato (ooh lalala) Niteke (mateka niteke) Niteke (niteke teke niteke) Niteke teke (mateka niteke) Niteke (ooh) Siri ishia mrama Mwaga mwaga ma Siri ishia mrama Mwaga mwaga ma Uma fiti, nidhibiti Ukimumunya pipi Utamu wa kisiginoni Nichikiche nichikichi Sina shovu nnje ya kiti Leo unakesha kilindoni Nitwange nipepete Nisage nichekeche Nikande niumbuke Kilima nipandishe Kibinda mkoi mkoi (aaee eeh) Kiwinda pori pori (aaee) Naringa doli doli (aaee eeh) Mawinga chori chori Niteke (mateka niteke) Niteke (niteke teke niteke) Niteke teke (mateka niteke) Niteke (ooh) Siri ishia mrama Mwaga mwaga ma Siri ishia mrama Mwaga mwaga ma Mateka niteke Niteke teke niteke Mateka niteke Ooh Mwaga mwaga ma!