Nadia Hoyah hoyah hoyah Hoyah hoyah hoyah Nilichopata nikiomba walisema kitakwisha Nikitoa shukrani hadharani wakasema najigamba Hao binadamu walinipa wiki Sasa imepita miaka bado wanasubiri Kazi ya Mungu haina makosa Ingekuwa binadamu anatoa ningekosa Sio juju ni maombi, ni maombi Si kelele ni maombi, ni maombi Sio juju ni maombi, ni maombi Si kelele ni maombi, ni maombi Hoya hoya hoyaah Hoya hoya hoyaah Hoya hoya hoyaah Na mikono nitainua, magoti nipige Nimweleze jinsi alivyotenda katika Maisha yangu Kazi ya Mungu haina makosa Ingekuwa binadamu anatoa ningekosa Sio juju ni maombi, ni maombi Si kelele ni maombi, ni maombi Sio juju ni maombi, ni maombi Si kelele ni maombi, ni maombi Hoya hoya hoyaah Hoya hoya hoyaah Hoya hoya hoyaah Maneno ya wanadamu, yalinilenga kama mishalee Ila Mungu hawezi kubali uangukee Alichoanzisha leo, lazima atakamilisha weeh Kazi ya Mungu haina makosa Ingekuwa binadamu anatoa ningekosa Sio juju ni maombi, ni maombi Si kelele ni maombi, ni maombi Sio juju ni maombi, ni maombi Si kelele ni maombi, ni maombi Si uchawii weeh Si ulevii eeh Si kwa nguvu zangu miee Si KaNadia katambee