Mawazo unayo kwangu Si mabaya hata niishi na woga na wasiwasi Hata nikiwa ndani ya jangwa Sihofu najuwa ninaye Baba Yanipasa tu nitulie Nisubiri mapenzi yako Yanipasa tu niketi Niuone ukuu wako (Bwana) najuwa una mupango mwema (Kwangu) najuwa una mupango mwema Hata milima iinuke Sitakuacha kamwe Hata ahadi zikawie Nitabaki nawe Hata dunia inyamaze Nitakuita Ywh Ingawaje mengi yakutisha Nakuona wewe Ulisema humuachi Yule ajaye kwako Ulisema mwenye haki Ataishi na imani kwako Ndiyo maana nakuita Bwana onekana Yanipasa tu nitulie Nisubiri mapenzi yako Yanipasa tu niketi Niuone ukuu wako (Bwana) najuwa una mupango mwema (Kwangu) najuwa una mupango mwema