Only you babe, only you babe You are my only one babe My only one babe Some say a fool never change his mind Well maybe baby I'm a fool for you Mapenzi kipofu kipenda maovu, honey Ooh love is blind never seem so true When I’m broke, natumianga bro please call me Akipiga naomba dooh Mbona kuna message inajitumanga send me money To cut a long story short yoyo Vumilia na mimi, please don't leave me Don't let the money fool you, sponsors just wanna use you Namwambia mtoto wa mama hasiharibikeee Ananishow ni biashara tu Na siwezi mshibishaa na Pangangaa tu Na mwezi ukiisha sina ujanja too Na renti ikibishwa huanga blunder wowowowowo Bebi bebi, kwani me wakati sina Leo sina kitu kesho ntafanikiwa hmm Na nikibarikiwa Ahadi yangu ni sitasahau mahali nimetoka na weh Only you babe, only you babe You're my only one babe My only one Girl I wanna, girl I wanna Girl I wanna take you to my mama Show her you're the one for me I'll never ever never ever leave you Oh believe me when I say you’ll forever be my queen Yule nalala naye kwa dhiki, ntalala naye kwaa faraja Ahadi yangu ndo hiyo Kama pamoja tumelia tutacheka pamojaa Wou vumilia na mimi, please don't leave me Don't let the money fool you Sponsors just wanna use you Mtoto wa mama usiharibike eeii yeaaah iyeee Bebi bebi, kwani me wakati sina Leo sina kitu kesho ntafanikiwa hmm Na nikibarikiwa Ahadi yangu ni sitasahau mahali nimetoka na weh Weh weh weh (only you babe) yeah, yeah yeah Sitahau mahali nilipotoka na weh Only you babe, only you babe, my only one Okay sa nacheza kabubu Babe I dont talk I just do We mtamu kama buyu Zaidi ya kwa chini upo juu Forever you be my only one Tukiachana itaniuma Najua kuna nigga anangoja niharibu Aruke ndani ka superstar Usiache hi happen ishikirie ka siri Nikimake it in life then nikushikirie hata mimi You make me ooh babe don’t let me go, stay beside me You make me complete how will ma heart beat without you Bebi bebi, kwani me wakati sina Leo sina kitu kesho ntafanikiwa hmm Na nikibarikiwa Ahadi yangu ni sitasahau mahali nimetoka na weh