Yah, yah, yah, yah Yah, yah, yah, yah, yah Yaweh, Yaweh Eh Mungu wangu, ona Kidogo ulichonijalia mimi Kuna watu wanakerekwa Wanaumia yah, ah Hapo ndo sina hata vyangu Naishi nyumba ya kupanga Sa nikijenga itakuaje? Wataniwekea sumu Wataniua mimi (aah) Siku hazifanani (aah) Kesho yangu yaja (oh yaja) Nitanunua kandinga Wale watakao nipinga Siwapandishi Na Mungu si athumani (aah) Jina langu litatajwa, litatajwa Nitayashinda, namwamini yeye tu Hamnitishi Nalindwa na Sir God (we huogopi) Nipo ngangari na siogopi chochote (we huogopi) Ukirusha mshale unadunda (we huogopi) Na ndo maana ni nadunda tu (we huogopi) Nalindwa na Baba eh (we huogopi) Nipo ngangari na siogopi chochote (we huogopi) Ukirusha mshale unadunda (we huogopi) Na ndo maana mi nadunda tu (we huogopi) Mia yangu, jero yangu, buku yangu Niko happy, kisichoriziki naachana nacho Ndala yangu, bukta yangu, shati langu (eeh, mmh) Niko happy, kisichoriziki naachana nacho Siku hazifanani (aah) Kesho yangu yaja (oh yaja) Nitanunua kandinga Wale watakao nipinga Siwapandishi Na Mungu si athumani (aah) Jina langu litatajwa, litatajwa Nitayashinda, namwamini yeye tu Hamnitishi Nalindwa na Sir God (we huogopi) Nipo ngangari na siogopi chochote (we huogopi) Ukirusha mshale unadunda (we huogopi) Na ndo maana ni nadunda tu (we huogopi) Nalindwa na Baba eh (we huogopi) Nipo ngangari na siogopi chochote (we huogopi) Ukirusha mshale unadunda (we huogopi) Na ndo maana mi nadunda tu (we huogopi)