Ayolizer Nina macho lakini sioni Nina masikio ila kwako sisikii Sauti yako huniita ndotoni Na nikipapasa sikuoni Upo mbali baba eeh (ayayayaya) Uko mbali sana eeh Unapokosa kupokeaga simu yangu Hofu juu Mwili ganzi inauma na roho yangu Nahisi upo juu Upo mbali baba eeh (ayayayaya) Uko mbali sana eeh Ooh beiby, ooh beiby, ooh beiby (Kaza moyo univumilie) Ooh beiby, ooh beiby, ooh beiby (Yasemwayo usiyasikie) Ooh beiby, ooh beiby, ooh beiby (Kaza moyo univumilie) Ooh beiby, ooh beiby, ooh beiby Kwanza ungefanya tambiko Upige goti usali, nirudi salamaa Mmmh, ile safari sio kifo Ivo so usijali, nitarudi mamaa Hihi, tena punguza kulalamika utanitiaga mikosi Mwenzako bado mambo hayajajipa ila tu kiume na fosi Ka kuku nasaka nilete (aiyayayaya) Nami siku nisimame kiwete (aiyayayaya) Sichoki naongeza juhudi Kutwa nipo wima Vimejaaga makusudiii We niombee uzima Ooh beiby, ooh beiby, ooh beiby (Kaza moyo univumilie) Ooh beiby, ooh beiby, ooh beiby (Yasemwayo usiyasikie) Ooh beiby, ooh beiby, ooh beiby (Kaza moyo univumilie) Ooh beiby, ooh beiby, ooh beiby (Yasemwayo) Kidudu wivu hukaa katikati Kwenye mapenzi ya dhati Nafsi tulivu ila moyo wasiwasi Kifungo kuwacha shati Hofu walidi likinyauka Hata kitanda kitolalika Bora lizidi lisije shuka beiby Linanikondesha penzi mashaka Ndo wauma moyo nashika kichwa Nachoka kulala wika beiby Unapokosa kupokeaga simu yangu Hofu juu Mwili ganzi inauma na roho yangu Nahisi upo juu Upo mbali baba eeh (ayayayaya) Uko mbali sana eeh Ooh beiby, ooh beiby, ooh beiby (Kaza moyo univumilie) Ooh beiby, ooh beiby, ooh beiby (Yasemwayo usiyasikie) Ooh beiby, ooh beiby, ooh beiby (Kaza moyo univumilie) Ooh beiby, ooh beiby, ooh beiby (Yasemwayo) Wasafi!