Aah sshh! Ratata Tatata! Aaah! Aaah! Aaah! Haaa! Tawire! (Surprise) Tawire! Tawire! Tawire, Tawire Tawire, Tawire Tawire, Tawire Mganga tawire Wanakuvuta (eh), kila unapotafuta Ukizikuta (eh), wanazingira ukuta Ata uwe na guta (eh), akili zinawaruka Wanaroga duka (eh), mpaka banda la sambusa Wanapiga manyanga (eh) Usijenge ubaki kupanga Wanachanganya waganga (eh) Wa Pemba, Tanga, Sumba, Wanga Makili kili na ma fili fili Tunayakemea yapotee, Amina! Madili dili mwana mbili mbili Na mitonyo yote ilegee, Amina! Wamekalia migoda Wanataka kukuroga Wachawi dumba watangoja Weka Mungu kwako uwe namba moja Tawire, Tawire Tawire, Tawire Tawire, Tawire Mganga tawire Wanakatisha tamaa, watakupa ukichaa Wanafelisha ukiwakalisha ndo wanazidi kushagaa Kila kona kila baa Kila toto ya mtaa Ukifanikiwa walokubania Wanabaki wakishangaa Unaomba afukuzwe kazi We ukapandishwe ngazi Kisa mapenzi unataka mwenzio Aachwe unavunja nazi (Kisa mapenzi unataka mwenzio Aachwe unavunja nazi) Wamekalia vigoda Wanataka kukuroga Wachawi dumba watangoja Weka Mungu kwako awe namba moja Tawire, Tawire Tawire, Tawire Tawire, Tawire Mganga tawire (Hallo simu ilikata) Hallo babu, basi ndo hivyo Maana miaka kumi sasa Anakwenda anarudi Mimi nachotaka ni kitu kimoja tu Ikiwezekana familia yake yote inipende Nipate nyumba na ndoa pia Niwache kwa kuzalilika Insta Tawire, Tawire Tawire, Tawire Tawire, Tawire Mganga tawire