He yeah, yee Ooh Machozi atiririka, moyo ababaika Mawazo yamenijaa (Hali jani hii, hali jani hii) Mwili anitetema, magu yamezisima Wogo umenijaa (Hali jani hii, hali jani hii) Nioko (nioko), nipeleke (nipeleke) Palipo (pema) Nioko (nioko), nipeleke (nipeleke) Palipo (pema) Nidhania Moyu wangu (ah, ah) Mukuita (aah ah) Uniokoe, uniokoe, uniokoe, unikoe Wazazi wamenipia, kaniacha mi achima Shida zimenijaa (Hali jani hii, hali jani hii) Magonjwa yameenea, na mi kanilemea Kifoka nizungukaa (Hali jani hii, hali jani hii) Nioko (nioko), nipeleke (nipeleke) Palipo (pema) Nioko (nioko), nipeleke (nipeleke) Palipo (pema) Nidhania Moyu wangu (ah, ah) Mukuita (aah ah) Uniokoe, uniokoe, uniokoe, unikoe No, I did not plan my misery No, I didn't foresee my destiny So I (so I) am asking you to help me Nidhania Moyu wangu (ah, ah) Mukuita (aah ah) Uniokoe, uniokoe, uniokoe, unikoe Nidhania Moyu wangu (ah, ah) Kwa kuita (aah ah) Uniokoe, uniokoe, uniokoe, unikoe