Nimepewa moyo wa kupatana na wewe
Nimepewa huruma najikuta na share-na wengi
Ulikosea nikakusamehe ukarudia vilevile
Woh oh, oh, ukarudia vilevile
Ukanipa jina mama huruma
Baada ya kusonga mbele narudi nyuma

Nah, wala sikushangai
Nimejifunza na we ndo mfano hai
Kilichoniumiza ni promise za uongo
Nah, kumbe ulinilaghai
Na ukanifanya niamini na kufurahi
Kumbe ni maneno tu, promise za uongo

Kosa gani nililofanya mpaka ugomvi unalazimisha
Kila siku usiku na mchana uishi kusema
Nieleze unataka niweje? (Mwanamke gani?)
Au nini kwako nifanye niwe na thamani?
Nieleze nini nifanye

Nah, wala sikushangai
Nimejifunza na we ndo mfano hai
Kilichoniumiza ni promise za uongo
Nah, kumbe ulinilaghai
Na ukanifanya niamini na kufurahi
Kumbe ni maneno tu, promise za uongo

Mwenzako nimepewa moyo wa kuridhika na we
Kwahiyo naomba nielewe nitaenda utakavyo wewe
Ukinipiga (it's okay)
Ukinitukana (vilevile)
Nakusamehe, nitakusamehe, nishakusamehe
Nitavumilia naamini yatapita
Nitakuombea Mola uweze jirekebisha

Nah, wala sikushangai
Nimejifunza na we ndo mfano hai
Kilichoniumiza ni promise za uongo
Nah, kumbe ulinilaghai
Na ukanifanya niamini na kufurahi
Kumbe ni maneno tu, promise za uongo

Nah, wala sikushangai
Nimejifunza na we ndo mfano hai
Kilichoniumiza ni promise za uongo
Na nimekosa amani
Amani imetoweka nyumbani
Kilichoniumiza ni, promise za uongo
Promise
Promise za uongo
Promise
Promise za uongo
Promise, promise
Za uongo
Promise
Ahadi
Promise, promise
Ahadi za uongo
Ahadi, ahadi
Promise
Promise, promise
Promise
Promise, promise
Promise
Promise, promise
    Página 1 / 1

    Letras y título
    Acordes y artista

    restablecer los ajustes
    OK