(Its S2kizzy Beiby) Pour la vie, je t'aime pour la vie Ooh mon amour, je t'aime pour la vie Nikiwa karibu na wewe yeah Ooh I can't breath Nikiwa karibu na wewe yeah Boy you make me weak Ooh I get shivers When the sun hits your brown eyes Baby live the way I now comply Napenda ukinipapasa (pararararara) Mmmh yeah (pararararara) Roho unanitakasa (pararararara) Ooh, yeah (pararararara) Je t'aimerai pour la vie (pararararara) Ooh pour la vie (pararararara) Roho unanitakasa (pararararara) Ooh, yeah (pararararara) Umenivunja vunja viungo vya mwili Kwako niko hoi taabani Dumba dumba zimekidhiri Mambo doi doi tafarani Uzi kaudungwa kwa sindano Moyo ukaushona (ahaaa) Nikiteleza kwenye mabano Konakona (ahaaa) Nilaze kifuani mwako Nikihema taratibu mama Sheshena kwa michezo yako Mwalimu umeniharibu mama Pour la vie, je t'aime pour la vie Ooh mon amour, je t'aime pour la vie Napenda ukinipapasa (pararararara) Mmmh yeah (pararararara) Roho unanitakasa (pararararara) Ooh, yeah (pararararara) Je t'aimerai pour la vie (pararararara) Ooh pour la vie (pararararara) Roho unanitakasa (pararararara) Ooh, yeah (pararararara) Aah! Ukinigusa kiuno Aah! Ukinichum chum Aah! I feel you when am with you Aah I love you! Aah! Ulimi kwa shingo ukiutambaza Aah! Akili inasafiri Aah! Ooh unaniuliwaza Aah I love you! (Laizer on the Mix)