Yeleleleo yeleleo mama Yeleleleo yeleleo mama Kanguo kamtumba na kapafyumu kwa mbali Mnaaanza maneno, neon waja mna nyingi shari Sijafungua kiwanda, mi mjasirkamali Hamuishi wanganga, mwaka huu vitawapanda visukari Ooh, ooh Atiii ndugu, lilia bahati Utajiona we mrembo, uuitwe queen, usihongwe hata bati Atiii mnayoomba hayanipati Siogopi, Mungu wangu yu makini, ananijibu kwa wakati Yeleleleo yeleleo mama Ahh na enjoy Yeleleleo yeleleo mama Sitaki stress aka naenjoy Ooh mama wee, niacheni nienjoy Shida haziishi sasa bwana neenjoy Binadamu binadamu, nawaita mara tatu Ata nyota ndogo alisema kuna watu na viatu Wale wa kujipamba sana wawe watu mbеle za watu ooh Tuulizeni sisi, wanaroho za chatu Pili pili ya shamba ya wawashi nini (apo chacha) Eti sawa nadanga, siwadangii nyinyi (hahaa) Mkipandisha mapanga, mimi sishushi chini (mxiiieww) Nnalolimudu, nimuachiе Mungu kwanini Ooh, ooh Atiii ndugu, lilia bahati Utajiona we mrembo, uuitwe queen, usihongwe hata bati Atiii mnayoomba hayanipati Siogopi, Mungu wangu yu makini, ananijibu kwa wakati Yeleleleo yeleleo mama Ahh na enjoy Yeleleleo yeleleo mama Sitaki stress aka naenjoy Ooh mama wee, niacheni nienjoy Shida haziishi sasa bwana neenjoy