Yammi yammi Mwanakwenda uende, sikumbuki kilichofanya nkupende Nanukuuu ndo uliyasema hayooo Na shamba liikosa jembe Kilima cha kushuka nikipande Nikanyosha mikono juu, nikaoiga konde moyo ahh Hadi najionea maajabu, mpaka nashangaa Kipi ulichosahau kwangu ama ulipo hakuna fuhara We si ulifuta namba zangu, ukaniacha mataa Mixer kuniimbia taarabu, umeshajikataa Nananinananaaw Umeshachelewa pole Umeshachelewa pole Umeshachelewa pole Umeshachelewa pole Mhh saivi napewa full dozi ya kumimina Ahh kuna muda sina usingizi, nalazwa mzima Penzi nimelipitia kozi, sio made in China Sio wewe mwana kikohozi kubanja kujinyima Hadi najionea maajabu, mpaka nashangaa Kipi ulichosahau kwangu ama ulipo hakuna fuhara We si ulifuta namba zangu, ukaniacha mataa Mixer kuniimbia taarabu, umeshajikataa Nananinananaaw Umeshachelewa pole Umeshachelewa pole Umeshachelewa pole Umeshachelewa pole