Mmh mmh mh ooyehh mmh Huwa kweli nashangaa Wale ambao wanapendaa Bila kukosana na kuwachana wafanyaje Jua lang'aa Na siku zaendaa Bado sijapenda na kupendeka nifanyaje Nikipenda natendwa, nikikosa natengwaa Nilizunguka kushoto, kulia ooh nikachoka Nikipata napendwa, nikileta napendwa Kuotanga mandoto, asante nikajifunzaa Maombi kaomba, omba! Niwezeshwe kupenda, aih! Mengi yanasemwa, kwa rafiki tena jiranii Kulala kalala, lala! Niyasahau kupenda, aiih! Mengi nayaona, hadharani toka zamanii Niwache Niwache mimi Niwache Nikakondaaa Niwache Mapenzii Niwache Na mengine sisemi Ni mengi tu nimeyaona Kununua mapenzi Haitoki tena kwa moyo Na mengi kaambiwa, ukiwa naye ni wakoo Maana akiondoka-anaranda kwingi hachoki Kama mtoto sijajua! Mapenzi sijaelewa! Kule napotoka, hakuna tena kupendaa Kama baba angekuepo Kunifunza kupenda! Wale ninaopenda Hakuna tena mapenzi Maombi kaomba, omba! Niwezeshwe kupenda, aiiih! Mengi yanasemwa, kwa rafiki tena jiranii Kulala kalala, lala! Niyasahau kupenda, aiih! Mengi nayaona, hadharani toka zamanii Niwache Niwache mimi Niwache Nikakondaaa Niwache Mapenzii Niwache