Nimesaka form, nimesaka form, nimesaka form Nimesaka form, nimekosa form, nimerudi home Sa ju niko home, itabidi nimewasha ki Niwashe ki-- alafu baadae nipitie machuom Cheki Nimesaka form, nimesaka form, nimesaka form Nimesaka form, nimekosa form, nimerudi home Sa ju niko home, itabidi nimewasha ki Niwashe ki-- alafu baadae nipitie machuom Cheki Niko na chuki na doh Niko na chuki na doh Niko na chuki na doh Ju mi huzisakaga na sipati hizo doh Niko na chuki na doh Niko na chuki na doh Niko na chuki na doh Ju imefanya mamorio wengi wagoo doh Niko na chuki na doh Niko na chuki na doh Niko na chuki na doh Ju mi huzisakaga na sipati hizo doh Niko na chuki na doh, zilost nazipata kwa show Bila show siwezi pata hizo doh Kwani form hukuwa gani hizo doh zikilost Hatukutani ka ni ghost, tupatane kwa beta Nina was na kuzishika kuzitumia ni worse na Nalipagwa once in a month, Once in a month ndo unafaa ulipe keja Once in a month ukiendea tenje ikue mteja Na madeni kwa duka ni kuongezeka Na hushibi kwa hoteli unadai nyongeza eeh Ni kujibonga si mbaya, ni kukosa pesa Hii ni life bila pesa ngori joo, itakupea presha Saa zingine kuhustle ni fiti, itakutosheleza Maintain hii ground to the fullest na, eeh life itasonga Lakini kitu ni ati bado iko Niko na chuki na doh Niko na chuki na doh Niko na chuki na doh Niko na chuki na doh Niko na chuki na doh Niko na chuki na doh Ju mi huzisakaga na sipati hizo doh Niko na chuki na doh Niko na chuki na doh Niko na chuki na doh Ju imefanya mamorio wengi wagoo doh Niko na chuki na doh Niko na chuki na doh Niko na chuki na doh Ju mi huzisakaga na sipati hizo doh Yoh cheki Eeh, acha tubonge basi ju ya stori na doh Hii stori ngori joo Tebu imagine na tumezunguka sana kwa hii life Na we ndo starring joo Ukikosa uchekwe, ukipata uweke Utaitwa mbleina tu ki yoo Wanachapa vitu na tu vile unafaa kufanya Ju sa hizo umepata maana Eeh hadi madem walikulenga Juu sa hizo umezipata ni ka wote wanakufuata Cheki, ni juu ya nini ka si ganji? Sa zile uko chini jo hawakuhitaji Ningekuwa pesa, ningekuwa natesa Ningekuwa nateta na silali kwa MPESA Kazi ni kuwareweza saa zingine kuwatekesa Nakwara kulala bank, ndo nilale kwa baesa