Chekecha cheketua

Alikiba

    Continúa después del anuncio

    Jamaniii mi nataka saule kama mapenzi gorofa yamejaa Kariakoo
    Mi nna mapenzi tele kama kwetu kule
    Wanao nitaka ni wengi ila mimi kwako nyang'a nyang'a nyang'a
    Nini unataka mi nina miujiza nini unataka
    Ama ni maji ya bluelight sema nini unataka
    Nikugeuze Princess sema nini unataka
    Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa
    Nini unataka mi nina miujiza nini unataka
    Nikugeuze Princess sema nini unataka
    Siamini yaani siamini yamenipanda kichwani
    Mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
    Siamini ooh siamini yamenipanda kichwani

    Mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini

    Aya chekecha

    Continúa después del anuncio

    Chekecha Aya chekecha cheketua

    Cheke chekecha cheketua
    Cheke chekesha cheketua

    Cheke chekesha cheketua cheke

    Masia Uluso kitaa Abu Daddy
    Penzi alinipa mama nami leo nakupatia

    Tena sitaki lawama penzi kiapo hakuna
    Mi ntakupenda sana mpaka wivu utakimbia
    Nami ntalia na wewe mimi kwako nyang'a nyang'a nyang'a
    Nini unataka mi nina miujiza nini unataka
    Ama ni maji ya bluelight sema nini unataka
    Nikugeuze Princess sema nini unataka
    Unavyo biringa bayondo hivyo mi ndo nataka taka sana natakaa
    Nini unataka mi nina miujiza nini unataka
    Nikugeuze Princess sema nini unataka
    Siamini yaani siamini yamenipanda kichwani
    Mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
    Siamini ooh siamini yamenipanda kichwani
    Mahaba ya kuota sinitimi yamenikoleza mwilini
    Aya chekecha
    Chekecha Aya chekesha cheketua
    Cheke chekecha cheketua
    Cheke chekesha cheketua
    Cheke chekesha cheketua cheke
    Yeah uuh cheke chekecha aah heyi

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión