Hela hela, hela hela Hela unatutesa pia Tatizo lako aliekuumba Ni binadamu angekuumba mungu wewe Usingenipotea tena sana ningeomba Niweze kukoa uwe wangu moja kwa moja hela Nisha beba takataka Nipate kula nikikupata unatoroka Hela Mbona labda masikini Wakikupata wakisha kula Unatoroka hela Hela hela (hela) Hela hela, hela, hela hela Hela hela, hela, hela hela Hela unatutesa sana Na wananchi wanalalamika Unapendelea wana siasa hela Wanayonywa haki zao Na wenye nguvu Aliyewapa jon kio hela Na machinga nao pia Wananyanyasika sababu yako wewe hela Kwa wagonjwa hospital Bila rushwa hawatibiwi vizuri Hela hela (hela) Hela hela hela hela (hela) Hela hela hela hela Hela unatutesa sana Hela hela, hela hela Hela hela, hela hela Wewe wako matajiri Ndo maswaiba zako (Hela unatutesa sana) Nenda ukae na mayatima Wapate faraja aaja aaja Kwani nani asiependa (kujinafasi) Nani asiependa (kujinafasi) Nani asiependa Kuwa na wewe hela Kuna wajane wasiojiweza Walemavu mpaka ali k Hela hela, hela hela Hela hela, hela hela Hela hela, hela hela Hela hela, hela hela Yeah