Mahaba

Alikiba

    Continúa después del anuncio

    Siku hizi hakuna mahaba
    Yeah, mahaba
    Mapenzi ya mkataba
    Mpaka kufa, yamekwisha

    Ni neema ukiwa unahema
    Mapenzi yanachosha, yanafuja raha
    Nafsi yangu inasema
    Bora nimpende tu alionizaa

    Uchungu wa kulia daily
    Mapenzi yalinifanya nisile
    Sina kumbukumbu ile
    Kwamba ulinikosha, no!

    Uchungu wa kulia daily
    Mapenzi yalinifanya nisile
    Sina kumbukumbu ile
    Yakwamba ulinikosha, no!

    Continúa después del anuncio

    Mwenzako mi' nilikufa, nikazikwa, nikaoza
    Mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefufuka, yeah
    Mi' nilikufa, nikazikwa, nikaoza
    Mapenzi yalinitesa, nimefufuka, yeah

    S'kiza kwanza we dada
    We dada
    Mi' sio mgeni alishanikaba
    Mapenzi yalinikausha
    Natamani kuwa single
    Ila nna-upwilu unakaba koo

    Mabinti wenye vifundo
    Hao ndio mi' wananitoa roho
    Na siri juu ya jambo lile
    Ni kama chakula lazima nile
    Mi' mbovu sana wa jambo lile
    Na ufundi wa kutosha, ooh

    Na siri yake tuu jambo lile
    Ni kama chakula lazima nile
    Mi' mbovu sana wa jambo lile
    Na ufundi wa kutosha, ooh
    Mwenzako mi' nilikufa, nikazikwa, nikaoza

    Mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefufuka, yeah
    Mi' nilikufa, nikazikwa, nikaoza
    Mapenzi yalinitesa, nimefufuka, yeah

    Información de la canción

    Composición: Ali Kiba

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión