Diana

Bahati

Continues after the ad

EMB Records

Niko vitani na moyo, baby
Zaidi ya yote kumbuka jana
Unasonga, mi nasonga
Moyo unakataa (mh aah)
Kinachonitia wasi wasi
Ni cha kuwaambia kanisani
Na sijafeli, nina imani moyoni

Ulivyobeba virago vyako
Kanisahau mie
Na ukambeba mwanangu
Amwite nani dady

Diana (Diana)
Diana (Diana, Diana)
Wangu Diana, eh (Diana, Diana)
Nisikize Diana, eh (Diana, Diana)

Ina maana huoni uchungu napitiaa
Naikimbia shida nilikotoka unajuaa
Naogopa, naogopa
Honey, naogopa
Ninavyo umia bidii kwa kazi
Mbona unaondoka?

Continues after the ad

Nakupenda sana
Nishawaambia mashabiki na baba
Akulinde sana
Baado nakusubire

Ulivyobeba virago vyako
Kanisahau mie
Na ukambeba mwanangu
Amwite nani dady

Diana (Diana)
Diana (Diana, Diana)
Wangu Diana, eh (Diana, Diana)
Nisikize Diana, eh (Diana, Diana)

Ina maana huoni uchungu napitiaa
Naikimbia shida nilikotoka unajuaa

Diana (Diana)
Diana (Diana)
Diana, Diana
Diana, Diana

Shallzbaro

Ulivyobeba virago vyako
Kanisahau mie
Na ukambeba mwanangu
Amwite nani dady

Song details

Composition:

Did you see an error?

Send us your revision