Uzima "La Vie"

Barbara Kanam

    Continúa después del anuncio

    Na tembeya dunia yote
    Hakuna Mungu mwingine kama weye
    We Mungu wangu
    Ungali wimbo wangu
    Uko Mungu wangu
    Atcha niku shukuru
    Mweniezi Weye

    Uzima ninao moyoni daima
    Uzima ni Yesu mwokozi
    Aliniondoa aporini hakika
    Aka nitiliya hodari
    Nashiba rohoni kwa raha ya Mungu
    Na moto wa mbinguni ulimo
    Na pata kukaha nuruni kabisa
    Na nuru ni Yesu mwokozi

    Unibambe bambe Weye Mungu wangu
    Unibambe bambe Weye Baba wangu
    Unioneshe ndjiya nikutumikiye
    Unibambe bambe Weye Mungu wangu
    Nikuone one nione na baraka
    Unibambe bambe nipate na kimia

    Continúa después del anuncio

    Weye baba Mungu wa madjabu ni Weye
    Hakuna mwingine
    Taku abudu dje
    Weye ndjo Mungu wa Tania
    Ni mutumishi wako
    Ulimutchaguwa
    Wakati mina tembeya
    Na kumbuka nanoana
    Mapendo yako

    Nashiba rohoni kwa raha ya Mungu
    Na moto wa mbinguni ulimo
    Napata kukaha nuruni kabisa
    Na nuru ni Yesu Mwokozi

    Unibambe bambe Weye Mungu wangu
    Unibambe bambe Weye Baba wangu
    Unioneshe ndjiya nikutumikiye
    Unibambe bambe Weye Mungu wangu
    Nikuone one nione na baraka
    Unibambe bambe nipate na kimia

    Oh Nzambe bolingo nayo ezali eloko ya mutuya
    Na bomoyi ya Tania
    Yango ake ko pema na kimia

    Celui qui demeure sous l'abri du très haut
    Repose à l'ombre du Tout Puissant

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión

    Canciones relacionadas