BamBam (feat. Zuchu)

D Voice

    Continues after the ad

    Washumba na mashumba wena
    Washumba na mashumba wena
    Washumba na mashumba wena
    Washumba na mashumba wena
    Washumba na mashumba wena
    Washumba na mashumba wena
    Washumba na mashumba wena
    Washumba na mashumba wena

    Haikatox haikatai
    Naenjoy mapenzi ananipenda wallah
    Sikuhizi kiboss acha nijidai
    Penzi limefana kama suti na tai limenogaa
    Raha tu chumbani bafana bafanaa
    Kitandani ana nichezesha sheree
    Nimeoza moyo maini maini mpaka bandama
    Ye ndo kucha kanikuna kipelee

    Asa wenzenu leo hatulalii (kitandana cha moto)
    Wakubwa tunakesha kulala tuwaachie watoto
    Usiku ndo hatarii (moto juu ya moto)
    Tunazama sayari yani chocho juu ya chocho

    Mi na yeye bambam
    Ye ni hawa mi adam dam dam
    Wenzenu penzi letu tam tam tam
    Mi na yeye dam dam dam

    Continues after the ad

    (Zuchu chu chu)
    My baby good morning itika how are you? (How are you?)
    Mi siko fine toka jana usiku
    Nisipokuona tu honey mi presha yawa juu (yawa juu)
    Naogopa vinyani visikuibe my boo
    Ooh kwake natolewa miba wa samaki kole kole
    Ooh ananilisha nashiba kisha ananipa pole

    Onana, onana nana ono nono
    Pendashana I love more more
    Natukigombana mtulize mishono
    Tunajuana mtachoka midomo

    Wenzenu leo hatulalii (kitandana cha moto)
    Wakubwa tunakesha kulala tuwaachie watoto
    Usiku ndo hatarii (moto juu ya moto)
    Tunazama sayari yani chocho juu ya chocho

    Mi na yeye bambam
    Ye ndo hawa mi adam dam dam
    Wenzenu penzi letu tam tam tam
    Mi na yeye dam dam dam

    Onana nana ono nono
    Pendashana i ilove more more
    Natukigombana mtulize mishono
    Tunajuana mtachoka midomo

    Song details

    Composition:

    Did you see an error?

    Enviar revisão