Kama Wengine (feat. Diamond Platnumz)

D Voice

    Continúa después del anuncio

    Oya we unajifanya ah, unajifanya mtu wa dini mchana
    Usiku kidimbwi unagombania mabwana
    Unajifanya haujatumika msichana
    Sa nimechomeka sa mbona haijabana

    Oya wee! (We malaya tu kama malaya wengine)
    Oyaa wee! (We utumbo tu kama utumbo mwengine)

    Aah! Snichi sio mwana, mwana sio snichi
    Nikiwa nae shemu kumbe nkiondoka sweet
    Viushauri penzi langu kunipatia
    Kumbe kwa nyuma bebe yangu unaivizia

    Wee snichi tuu kama masnichi wengine
    Oya wee! (We kuwadi tu kama kuwadi wengine)

    Unajifanya upendi waganga unapenda masheikh
    Kujifanya dogo janja kama ujabalehe
    Kumbe wewe na mimi wote walewale
    Tofauti mganga wako wa buza wangu wa tandale

    Oya wewe (we mchawi tu kama wachawi wengine)
    Oya wewe we ni mwanga tu kama wanga wengine

    Continúa después del anuncio

    Unaheshimu ramadhani unazini shabani (tooba)
    Mchana stara usiku viwanjani
    Sa mahubiri yako unamuhubiria nani
    We na mimi woote kesho motoni

    We shetani tu kama shetani wengine
    Oya wewe we firauni tu ka firauni wengine

    Asa nikilewa bwi! Msiniache mnibebe
    Nikiwa tungi bwi! Msiniache mnibebe
    Nikivesha bwi! Msiniache mnibebe
    Nikipuliza bwi! Msiniache mnibebe
    Aya nibebe nibebe nibebe nibebe
    Nibebe nibebe nibebe nibebe

    Oya kwenye ofa za bia msiniache mnibebe
    Mkienda viwanja msiniache mnibebe
    Wanangu wasafi fest msiniache mnibebe
    We kwenye vibe msiniache mnibebe
    Haya nibebe nibebe nibebe nibebe
    Nibebe nibebe nibebe nibebe

    Sawa niite chizi mwendawazimu wewe apo msukule (kule)
    Kama ulikula changu kwa simu jua akiendi bure (bure)
    Niite chizi mwendawazimu wewe apo msukule (kule)
    Kama ulikula changu kwa simu jua akiendi bure (bure)

    Hasa muda wakulipa (lipa), muda wakuchojoa (chojoa)
    Muda wakulipa (lipa), muda wakuchojoa (chojoa)
    Dada muda wakulipa (lipa), muda wakuchojoa (chojoa)
    Muda wakulipa (lipa), baba muda wakuchojoa

    Nilipotoka mwenye nyumba kanivurula
    Kanipandishia kodi ghafla kwa dharura
    Nilipotoka mwenyenyumba kanivurula
    Paka nahisi joto kama kusaula

    Saa na wewe saula sasa mwanangu saula sasa (saula)
    Saula sasa nione saula sasa (saula)
    Saula sasa wanangu saula sasa (saula)
    Saula saaa ivue saula sasa (saula)

    Oya wakilewa wao wana vibe tukilewa si tuna stress
    Saa nawanywea pombe niwashe gongo kudadeki
    Oya wakilewa wao wana vibe tukilewa si tuna stress
    Saa nawalia kitu niwashe moto kudadek

    Niwashe nsiwashe (washa)
    Wanangu niuwashe (washa)
    Niwashe nsiwashe (washa)
    Wahuni niuwashe (washa)
    Nauliza niwashe (washa)
    Ama nsiwashe (washa)
    Machizi boti niwashe (washa)
    Ama ni si (waa)

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión

    Canciones relacionadas