Nani (feat. Zuchu)

D Voice

    Continúa después del anuncio

    Ai, Pablo
    Mr. LG

    Ai sweetie kuna kitu mi nataka nikwambie
    Lakini naogopa utaniona ka una wivu hivi
    Oh sweetie, nikunong’oneze wa pembeni wasisikie
    Maana naogopa wataniona ka nina wivu hivi

    Asa sijui ndio ujinga, sijui ndo ufala
    Au sijui mazoea, ila napata tabu ukiwa mbali ma
    Maona nashindwa, kula hata kulala
    Mnyonge nanyong’onyea
    Mwenzio napata tabu ukiwa mbali ma

    Honey kwako mi chizi poyoyo
    Usiende mbali nami, we ndio tulizo la moyo
    Honey kwako mi chizi poyoyo
    Usiende mbali nami, we ndio tulizo la moyo

    Oh na kama sio wewe (nani)
    Wa kuniliwaza (nani)
    Kunibembeleza (nani)
    Wa kunipepea nilale (nani)

    Continúa después del anuncio

    Na kama sio wewe (nani)
    Wa kuniliwaza (nani)
    Kunibembeleza (nani)
    Wa kunipepea nilale (nani)

    Mh

    Zuchu-chu-chu
    Kuna venye hutimamu
    Unaniteka na kuwa chakaram
    Hii inaitwaje kitaalam
    Ukitajwa kimoyo ni paaah
    Why why why why tam
    Mshwiti mshwiti bubble gum (bubble gum)
    Yani yam yam yam yam yam
    Ndo mapenzi au ufalaa
    Why why why

    Kwanza yote tisa kumi
    Moyo umeuhamisha kambi
    Kanipa penzi sabuni
    Lanitakatisha dhambi

    Wanasubiri livunjike penzi hili
    Hatutishwi na tumbili
    Kuachana apende mwenyezi

    Honey kwako mi chizi poyoyo
    Usiende mbali nami, we ndo tulizo la moyo
    Honey kwako mi chizi poyoyo
    Usiende mbali nami, we ndo tulizo la moyo

    Oh na kama sio wewe (nani)
    Wa kuniliwaza (nani)
    Kunibembeleza (nani)
    Wa kunipepea nilale (nani)

    Na kama sio wewe (nani)
    Na kama si wewee (nani) (nani)
    Naani nani (nani)
    Wa kunidekeza

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión