Continúa después del anuncio

    Hello hapo vipi sijui unanisikia
    Hello nna maneno natamani kukwambia
    Hello tafadhari usije nikatia
    Hello ona mpaka nasaau kusalimia

    Habari gani leo, nimekukumbuka sana
    Na mama yangu twakuwazagaa
    Vipi nyumbani hali ya mumeo na wana
    Na aunty Shani wa Chimwagaa ah, ah?
    Kile kidonda changu cha roho bado kinanitia tabu
    Nnajitaidi kukaza roho ila nadhidisha adhabu
    Tena silali oh nasubiri maajabu
    Maumivu yangu yaje apate dawa

    I miss you nakukumbuka iye iyeh
    I miss you nakukumbuka iye iyeh
    I miss you nakukumbuka iye iyeh
    I miss you nakukumbuka iye iyeh

    Na roho yangu mama (bingili bingili)
    Ah nikikuwaza (bingili bingili)
    Nikisinzia (bingili bingili bayoyo)
    Oh nikilala (bingili bingili)
    Ih inama inuka uwoh (bingili bingili)
    Uku sina raha (bingili bingili bayoyo)

    Continúa después del anuncio

    Ah iyeeh ah iyeeh

    Tatizo kwetu sijui nini kosa langu
    Mpaka nikawa adui ghafla ukanichukiaga
    Nawaza ila siambui ama shida zangu
    Simba nikawa chui mi roho inaniumaga
    Yawezekana ahadi zangu zisizotimia
    Ndio maana haukutaka kusubiria
    Nasema nyama mwisho wa siku naleta bamia
    Chai mchana usiku dona kurumaghia
    Nilitamani sana ila wangu vyangu palinishia
    Ningalikua na uwezo ningekutimizia
    Mingali unafuraha haya maumivu ntayavumilia
    Ila japo nambie ivi unanifikiria maana eh eeh

    Nakumkumbuka iyeeh iyeh
    Nakumkumbuka sana ooh
    I miss you nakukumbuka iye iyeh
    I miss you nakukumbuka iye iyeh
    I miss you nakukumbuka iye iyeh
    I miss you nakukumbuka iye iyeh

    Ah na roho yangu mama (bingili bingili)
    Ah nikikuwaza (bingili bingili)
    Nikisinzia (bingili bingili bayoyo)
    Oh nikilala (bingili bingili)
    Ih inama inuka uwoh (bingili bingili)
    Uku sina raha (bingili bingili bayoyo)

    Ata nikila (bingili bingili)
    Nikikuwaza (bingili bingili)
    Nikilala heeh (bingili bingili bayoyo)

    Ooh ona roho yangu mama (bingili bingili)
    Ah nikikuwaza (bingili bingili)
    Nikisinzia (bingili bingili bayoyo)

    Heeh, roho yangu mama bingili bingili
    Heh heh heeh, bingili bingili
    Heh heh heeh, bingili bingili bayoyo
    Ooh roho yangu mama bingili bingili
    Ih inama inuka uwoh bingili bingili
    Ajabu sina raha bingili bingili bayoyo
    Ah ata nikila

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión