Ntampata Wapi

Diamond Platnumz

    Continúa después del anuncio

    Sura yake mtaratibu mwenye macho ya aibu
    Kumsahau najaribuu ila namkumbuka Sana'a
    Umbo lake mahbibu kwenye maradhi alonitibu
    Siri yangu ukaribu bado namumbuka Sana'a

    Alionifanya silali, jua kali nitafute tukale
    Lakini hata hakujali darling akatekwa na wale
    Alionifanya silali jua kali nitafute tukale
    Ila wala hakujali darling aah

    Ntampata wapi kama yule nilompendaga sana
    Ntampata wapi kama yule nanipende sana

    Aii, aii nyota ah
    Nyota ndo tatizo langu
    Aii nyota ah
    Mpaka nalia peke yangu
    Aii nyota ah
    Nyota ndio shida yangu
    Nyota ah
    Wamenizidi wenzangu

    Continúa después del anuncio

    Alidanganywa na wale (wale)
    Wenye pesa nyumba gari (gari)
    Mi kapuku hakunijali (jaali)
    Akanikimbiaa
    Alidanganywa na wale (wale)
    Wa mapesa nyumba gari (gari)
    Mi ungaunga hakunijali (jali)
    Jaali akanikimbiaa

    Alionifanya silali, jua kali nitafute tukale
    Lakini hata hakujali darling akatekwa na wale
    Alionifanya silali jua kali nitafute tukale
    Ila wala hakujali darling aah

    Ntampata wapi kama yule nilompendaga sana
    Ntampata wapi kama yule anipende sana

    Bado ananijia ndotoni (bado)
    Kila nikiamka simwoni (bado)
    Bado ananijia (ni) kilala
    Haki ya mungu sio masiara

    The touch Clever (bado)
    Hii ni sauti ya raisi (bado)
    Iliomshindaga Ibilisi (bado)
    Kwa mwanadamu sio rahisi (bado)
    Kamwambie (bado)
    Lazima ujue kutofautisha (bado)
    Kati ya msalaba na jumlisha (bado)
    Kuna X na kuzidisha (bado)
    Nicheche (cheche)

    Bado ananijia nkilala
    Haki ya Mungu sio masiara

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión