My Boo (remix) (feat. Q Chilla)

Harmonize

    Continues after the ad

    Aah tunaanza upya sasa
    Hahaha, just beginning
    Chilli, Konde Boy
    Yaani Chilla na Konde Boy

    Aah
    Mola anakupa astahili
    Hakupi unachotaka
    Ndio maana nimetulia
    Nakukabidhi mtima

    Naridhi kifungu mbili
    Kukosa nakupata
    We unanivumilia
    Ata nikiwa sina

    Mi najua wapo
    Walosema hunifai
    Eti hatuendani
    Wanajichosha na kujipa taabu

    Ooh wapo walosema
    Umetoka na maasai
    Tena hadharani wakapotosha
    Umedu na mwarabu

    Ila mi ndo nishapenda, nishapenda
    Sioni sisikii
    Siku zinakwenda, zinakwenda
    Sing'oki kisiki

    Ooh nishapenda, nishapenda
    Sioni sisikii
    Siku zinakwenda, zinakwenda
    Aki sing'oki kisiki, msijipe taabu

    My boo, my boo, my boo
    Ooh lala lalala my boo
    My boo, my boo, my boo
    Ooh lala lala my boo

    Continues after the ad

    Hawapendi kuniona na wewe
    Eti nimekaa nimechill na wewe
    Wanatamani niwe nimekwisha
    Ooh lalalala wakuchukue kabisa (eeh)

    (Hahaha, Love is sweet oh)

    Ah, nyie mafundi wa kuchamba
    Mnafanya kazi ya kanisa
    Ridhiki haivutwi kwa kamba
    Na wa kumi hapatagi tisa

    Mwenzenu fundi wa kulamba
    Tena anameza kabisa
    Sio kama najigamba
    Ila mbali ninamfikisha eeh

    Ndio maana
    Ananiganda ganda kama pochi
    Ananiganda (ndio maana)
    Nampanda panda kama kochi
    Nampanda

    Mi najua wapo
    Walosema we hunifai
    Eti hatuendani
    Wanajichosha na kujipa taabu

    Ooh wapo walosema
    Umetoka na maasai
    Tena hadharani wakapotosha
    Umedu na mwarabu

    Ila mi ndo nishapenda, nishapenda
    Sioni sisikii
    Siku zinakwenda, zinakwenda
    Sing'oki kisiki

    Ooh nishapenda, nishapenda
    Sioni sisikii
    Siku zinakwenda, zinakwenda
    Aki sing'oki kisiki, msijipe taabu

    My boo, my boo, my boo
    Ooh lala lalala my boo
    My boo, my boo, my boo
    Ooh lala lala my boo

    Hawapendi kuniona na wewe
    Eti nimekaa nimechill na wewe
    Wanatamani niwe nimekwisha
    Ooh lalalala wakuchukue kabisa (eeh)

    Zuzuzu, zunguka waone
    Zuzuzu, zunguka waone
    Yii, asa zungusha body
    Zuzuzu, zunguka waone

    Kwani unadaiwa kodi?
    Zuzuzu, zunguka waone
    Ooh lele, Konde Boy

    Ananiganda ganda kama pochi
    Ananiganda (ndio maana)
    Nampanda panda kama kochi
    Nampanda

    Ooh my God it's Spencer

    Song details

    Composition:

    Did you see an error?

    Enviar revisão