Cifra Club

Niteke

Harmonize

Aún no tenemos los acordes de esta canción.

Konde Boy

I want to keep you, I no got let you
Nishafunga na zipu, kwingine nishasema no
Acha nikusifu, uzuri wa nyumba choo
Naulivyo nadhifu, sipati vidonda vya koo

If you leave me I go die
I go die my baby
Na ukinipenda nitajidai
Nitajidai my baby

Ooh, nakoma na zako
Kachiri kachiri, ukibinuka binuka
Eeeh, kivumbi na jasho
Wawili wawili, kwenye mashuka mashuka

Asa baby, niite (uniteke, unitekenye)
Nicheke kama mtoto (uniteke, aah baby nitekenye)
Apo ndo penye (uniteke, unitekenye)
Ninenepe kama mpoto, noo (uniteke, aah baby nitekenye)

Macho yake lungu lungu akinitazama
Nami nageuka nungu nungu, miiba inasimama
Macho yake lungu lungu akinitazama
Nami nageuka nungu nungu, miiba inasimama

Eeh fanya wazi unachotaka
Zidisha kunipenda
Ila kuna paparazzi na Basata
Tusichapane madenda

Ooh, nakoma na zako
Kachiri kachiri, ukibinuka binuka
Eeeh, kivumbi na jasho
Wawili wawili, kwenye mashuka mashuka

Asa baby, niite (uniteke, unitekenye)
Nicheke kama mtoto (uniteke, aah baby nitekenye)
Apo ndo penye (uniteke, unitekenye)
Ninenepe kama mpoto, noo (uniteke, aah baby nitekenye)

Asa baby, mi nataka nikukande
(Pindaa, pinda mgongo pinda)
Yaani pinda nikukande
(Pindaa, pinda mgongo pinda)
Unishikilie, nami nikugande
(Pindaa, pinda mgongo pinda)
Aah pinda pinda mgongo
Ebu nipe nikukande
(Pindaa, pinda mgongo pinda)
Yaani nikukandee (chii chii)

Otros videos de esta canción
    0 visualizaciones

    Afinación de los acordes

    Afinador en línea

    Ops (: Contenido disponible solo en portugués.
    OK