Continúa después del anuncio

    Kipya usichojua
    Maana isielewe ka barani
    Labda ulipogundua
    Ukanunua kisu cha butchery

    We ukanirarua
    Leo kwako sina dhamani tena
    Ibada niombe dua
    Labda atarudi kuwa ka zamani

    Ooh, ooh

    Macho yangu yamekaa kusubiri
    Kwa sababu ya kukesha
    Na nikikesha kuna mawili
    Huja usije kabisa

    Moyoni naona dalili
    Pendo nalichekecha
    Tamu imegeuka shubiri
    Mapenzi yamekwisha kabisa ee

    Continúa después del anuncio

    Hata mi nina moyo, nina moyo
    Usisahau nina moyo nina moyo
    Ukumbuke moyo nina moyo
    Wenye nyama moyo nina moyo

    Hata mi nina moyo, nina moyo
    Usisahau nina moyo nina moyo
    Ukumbuke moyo nina moyo
    Wenye nyama moyo nina moyo

    Nina imani unavyoniliza leo
    Na mi kesho Mungu atanilipia
    Siamini mi nimegeuka kero
    Sina chochote cha kukupa hisia

    Hivi ni kweli ninayo yaona leo
    Au niko ndotoni?
    Mapenzi yamekuwa kwa leo
    Yananichimbiwa shimoni

    Macho yalalamika kusubiri
    Kwa sababu ya kukesha
    Na nikikesha kuna mawili
    Huja usije kabisa

    Moyoni naona dalili
    Pendo nalichekecha
    Tamu imegeuka shubiri
    Mapenzi yamekwisha kabisa ee

    Hata mi nina moyo, nina moyo
    Usisahau nina moyo nina moyo
    Ukumbuke moyo nina moyo
    Wenye nyama moyo nina moyo

    Hata mi nina moyo, nina moyo
    Usisahau nina moyo nina moyo
    Ukumbuke moyo nina moyo
    Wenye nyama moyo nina moyo

    (Nina moyo mama, nina moyo mama)

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión