My Queen

Ibraah

    Continues after the ad

    You are my queen
    Nimekupa moyo wangu uutunze
    Safari
    Ukiniacha sina raha hata punje

    Maana, midunia inachanganya changanya
    Hususan mapenzi mama
    Mambo ya kushare hayana maana
    Mama mama

    Mara ushikwe kule, uteseke
    Mara ushikwe pale, unyanyaswe

    Unavyochezaga mama ma
    Raha napataga kwa sana na
    Unavyokataga mama
    Utamu nasikiaga kwa sana
    Unavyochezaga mama

    Continues after the ad

    Kigoma, Mtwara ulindi
    Mtwara tukamwone bibi
    Tukale futari ama gimbi
    Ushanidindindi kwako zaidi ya pimbi

    You please don't go hey
    Unanipa raha anytime
    You please don't go hey
    Unanipa raha you are mine

    Sio wachalizo wa Tabata
    Unanipa ile kitu nataka
    Mtoto hizo lips matata
    Ushanikamata wazushi watafyata

    Unavyochezaga mama ma
    Raha napataga kwa sana na
    Unavyokataga mama
    Utamu nasikiaga kwa sana
    Unavyochezaga mama

    Nimekubali we ni noma
    Na mapaka shume wataisoma
    Watafurahi wakikuona baba na mama

    Nimekubali we ni noma
    Na mapaka shume wataisoma
    Maana kilometa akikuona
    Atafanya bonge la sherehe

    Unavyochezaga mama ma
    Raha napataga kwa sana na
    Unavyokataga mama
    Utamu nasikiaga kwa sana
    Unavyochezaga mama

    Song details

    Composition:

    Did you see an error?

    Enviar revisão

    Related songs