Continúa después del anuncio

    Wahenga walisema
    Penzi lamea penye penzi
    Twendelee kupendana
    Japo wapo wanaoumia

    Sasa naiona
    Sasa naiona dhamani ya mapenzi
    Kwako mimi
    Kwako nimedidimia

    Vile tu tulienzi
    Hata kwa ugali na bamia
    Tubembelezane kwa tamu tenzi
    Hata tunapoikosa mia

    Vimba mpenzi (vimba)
    Jidai mpenzi (vimba)
    Aah tamba mpenzi
    Vimbaa, vimba

    Vimba mpenzi wangu eeh (vimba)
    Jidai beiby wangu eeh (vimba)
    Aah tamba mpenzi wangu eeh
    Vimbaa, vimba

    Pua pua wanaokejeli
    Chaguo langu mama mama
    Ukitazama kuwaliko wao ni vituko

    Continúa después del anuncio

    Furaha
    Furaha imetambaa kwangu
    Wao kila siku
    Msukosuko

    Wanajijaza masusu
    Na mambo yasowahusu
    Tusipuuze zao figisu
    Vikwazo tusiruhusu

    Vimba mpenzi (vimba)
    Jidai mpenzi (vimba)
    Aah tamba mpenzi
    Vimbaa, vimba

    Vimba mpenzi wangu eeh (vimba)
    Jidai beiby wangu eeh (vimba)
    Aah tamba mpenzi wangu eeh
    Vimbaa, vimba

    Tupendane kwa hali na mali mama
    Tusiwe kama manenge na mandawa
    Eeeh maadui wapambane na zao hali
    Sie malavidavi, malavidavi mama aah

    Ah subira huleta kilicho mbali
    Kipendacho moyo ni dawa

    Eeh mwaiona eeh (mwaiona)
    Bendera yetu yapepea (mwaiona)
    Safari yetu yaendelea (mwaiona)
    Chuki zao twazipotezea (mwaiona)

    Vimba mpenzi (vimba)
    Jidai mpenzi (vimba)
    Aah tamba mpenzi
    Vimbaa, vimba

    Vimba mpenzi wangu eeh (vimba)
    Jidai beiby wangu eeh (vimba)
    Aah tamba mpenzi wangu eeh
    Vimbaa, vimba

    Información de la canción

    Composición:

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión

    Canciones relacionadas