Puuh (feat. Billnass)

Jay Melody

    Continues after the ad

    Jay once again (S2Kizzy baby)
    Mm-hmm (nenga)
    Ah, hili penzi la ukweli, baby nipe tu
    Na ukinikuta nimelala unakuja juu
    Tena kwa jinsi liko hot linawaka, wuuh
    Na ukinikumbatia moyo unadunda puuh
    Ah, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh

    Oh, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
    Moyo unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
    Ah, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh

    Oh, la-la
    Hi! Wacha niseme kitu boo
    Siwezi kukutoa machozi maana mi' sio kitunguu
    Kila siku kwetu sikukuu
    Valentine sio issue kwetu si' ni siku tu!?
    Najua unapenda zawadi ma-gift
    Na ndo' maana work hard niku-fix
    Iwe shida ya mavazi, chakula na maradhi

    Sometimes niko radhi niji-risk
    'Nachofurahi hata nikikosa unaniombea kwa mungu
    Wapo wal'owahi nitosa kisa sina fungu
    Nakumbuka longtime ilivyokua hard time (hard time)

    Continues after the ad

    Kabla hujanitoa kwa ukungu
    you'shaambiwa maneno shazi
    you'shaambiwa mi' sina hadhi
    Ukaambiwa mimi jambazi
    Tapeli wa mapenzi na bado ukanihitaji
    you'shaambiwa maneno shazi
    you'shaambiwa mi' sina hadhi
    Ukaambiwa mimi jambazi

    Tapeli wa mapenzi na bado ukanihitaji
    Ah, hili penzi la ukweli, baby nipe tu
    Na ukinikuta nimelala unakuja juu
    Tena kwa jinsi liko hot linawaka, wuuh
    Na ukinikumbatia moyo unadunda puuh
    Ah, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
    Oh, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
    Moyo unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
    Ah, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh

    Oh, la-la
    Cheki ulivyopinda, ukivaa unapendeza
    Timu I'shakuamini chagua namba utayocheza
    Macho ya kichokozi yani kama unakonyeza
    Spending money for your love kwako nawekeza
    Zuzu, zuzu, ushanizuzua

    Nishakuvisha vyeo na hakuna hatakae kuvua
    Na kitu usichojua hata wakisema unajiuza
    Waambie mi' nd'o ninaekununua
    you'shaambiwa maneno shazi
    you'shaambiwa mi' sina hadhi
    Ukaambiwa mimi jambazi

    Tapeli wa mapenzi na bado ukanihitaji
    you'shaambiwa maneno shazi
    you'shaambiwa mi' sina hadhi
    Ukaambiwa mimi jambazi

    Tapeli wa mapenzi na bado ukanihitaji
    Ah, hili penzi la ukweli, baby nipe tu
    Na ukinikuta nimelala unakuja juu
    Tena kwa jinsi liko hot linawaka, wuuh
    Na ukinikumbatia moyo unadunda puuh
    Ah, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh

    Oh, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
    Moyo unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
    Ah, unadunda puuh, puuh, puuh, puuh-uh
    Oh, la-la
    Mm-hmm, mm-hmm
    Mm-hmm, mm-mm-mm
    Mm-hmm, mm-hmm
    Mm-hmm, mm-mm-mm (kamix lizer)

    Song details

    Composition: jay melody

    Did you see an error?

    Enviar revisão