Continúa después del anuncio

    Mapenzi tu
    Nimepagawa hamjui
    Ye kila mara ananifanya silali
    Namwaza yeye tu
    Anayeweka roho yangu juu
    Ana utoto tu
    Sema uzuri ananipaga asali
    Mi nailamba tu

    Na penzi letu ni kama sunna
    Na ulinzi kama suma
    Hata akinuna
    Bado unapendeza mchumba
    Mkimuona ananichuna
    Msinionee huruma
    Cha mtu huliwa na mtu
    Kutu yake chuma

    Basi mwambieni nampenda
    Sawa, sawa, sawa
    Ah mwambie mi nampenda
    Yes (sawa), right (sawa), sawa

    Continúa después del anuncio

    Huo utamu hasa nikiingia
    Akifungua gate naingia
    Akipanua neti naingia
    Na wala sikwepeshi naingia
    Sina akili ya kuchange idea
    Hapo hapo nimemng’ang’ania
    Hapo hapo nimeshikilia
    Na visokorokwinyo mtaumia, naahaa

    Kwa hakika haya mapenzi
    Kusema kweli, yataniua
    Kwa hakika haya mapenzi
    Kusema kweli, yataniua

    Na penzi letu ni kama sunna
    Na ulinzi kama suma
    Hata akinuna
    Bado unapendeza mchumba
    Mkimuona ananichuna
    Msinionee huruma
    Cha mtu huliwa na mtu
    Kutu yake chuma

    Basi mwambieni nampenda
    Sawa, sawa, sawa
    Ah mwambie mi nampenda
    Yes (sawa), right (sawa), sawa

    Información de la canción

    Composición: jay melody

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión