Kiburi

Kaberere

    Continues after the ad

    Nakumbuka kesha nilizoenda Baba
    Nilikuomba Mungu teletele
    Nikikupa mahitaji yangu yaliyokuwa moyoni mwangu
    Karura pia nimetembea nakukupa shida zangu Baba
    Zote umetimiza wa leo
    Mbona moyo wangu umeguza wema wako Baba
    Uliyoniangazia kama sina kitu

    Sikua na kitu kabla nikujue
    Mbona sasa umenibariki kiburi changu
    Sikua na kitu kabla nikujue
    Mbona sasa umenibariki kiburi changu

    Sadaka ibada nikiwa sitoi
    Maswali yakaanza kujaa kichwani
    Eti mbona najisumbua na wewe
    Ikawa nimelegea kiimani
    Na kutafuta kwa kutorokea
    Dunia mkono wazi ukanipoteza
    Natafuta mashimoni nijifiche
    Lakini ukanifikia na kunirudisha
    Sasa nimejipata
    Na kuelewe hakuna kinacholinganishwa
    Na Wema Wako Baba yangu

    Continues after the ad

    Sikua na kitu kabla nikujue
    Mbona sasa umenibariki kiburi changu
    Sikua na kitu kabla nikujue
    Mbona sasa umenibariki kiburi changu

    Sikua na kitu kabla nikujue
    Mbona sasa umenibariki kiburi changu
    Sikua na kitu kabla nikujue
    Mbona sasa umenibariki kiburi changu

    Sikua na kitu kabla nikujue
    Mbona sasa umenibariki kiburi changu
    Sikua na kitu kabla nikujue
    Mbona sasa umenibariki kiburi changu

    Song details

    Composition:

    Did you see an error?

    Enviar revisão