Sina Mali, Sina Deni

Khadja Nin

    Continúa después del anuncio

    Ahiya, Ahiya
    Kwa baraka
    Mimi napona
    Kabisa, ni hajabu
    Sina mwili tena
    Niko sawa upepo
    Mimi masikini
    Sina mali mali, sina deni
    Mali yangu baba
    Ina nyesha kama mvua
    Ina ruka kama ndege
    Ina cheka kama mtoto

    Ahiya, mam'ahiya
    Sina haja,ya kitu,
    mimi napona
    I'm free, kama maji
    Anatembeya mpaka katika pori
    Mimi, mi masikini
    Sina mali mali, sina deni
    Mali yangu baba
    Ina ota kama maua
    Ina pita kama nyota
    Ina waka kama jua

    Pole pole mama
    Wakati wangu umefika, mimi napona
    I'm free, kama hewa
    Ina ingiya mpaka fasi inapenda
    Mimi, ni masikini
    Sina mali mali, sina deni
    Mali yangu baba
    Ina ona kama macho
    Ina waka kama moto
    Ina lia kama ngoma

    Continúa después del anuncio

    I'm free kama maji
    Ana tempaka mpaka kati ya pori

    Kama hewa, kama macho kama nyota, kama maji
    Kama mimi leo, mimi napona

    I'm free, I'm free
    Kama mimi leo, mimi napona

    Ahiya Mam'ahiya
    sina mali, Mungu, sina deni

    Información de la canción

    Composición: Stevie Wonder

    ¿Los datos están equivocados?

    Enviar revisión