Kembo
Khadja Nin
Continues after the ad
unaniaca unaenda tena
nabaki apa mimi peke yangu
watoto, watoto wanaliya
usiende...
kembo, kembo, kembo...
watoto wanaliya...wewe
"napashwa"
wandugu wanaliya...
ni wewe
"napashwa"
ata mama yako analiya
"napashwa"
mimi bibi yako naliya
usiende na sorrow
nitangoja...kembo.
Continues after the ad
"usiende na sorrow
tutangoja"
usiende na sorrow
tutangoja...kembo.
watoto wanaliya...hood !!!
"unapashwa"
wandugu wanaliya...hood !!!
"unapashwa"
ata mama yako analiya
"unapashwa"
mimi bibi yako naliya
usiende na sorrow
nitangoja...
kembo... kembo...kembo...